Photographers' Corner


_73254799_y-big.jpg


A desperate scene at the Yarmouk Palestinian refugee camp near Damascus.
 
Somewhere!!!!!!!
 

Attachments

  • 1394036299153.jpg
    1394036299153.jpg
    26.4 KB · Views: 953
  • 1394036513460.jpg
    1394036513460.jpg
    22.8 KB · Views: 896
  • 1394036563729.jpg
    1394036563729.jpg
    44.4 KB · Views: 858
  • 1394036643108.jpg
    1394036643108.jpg
    24.2 KB · Views: 859
I luv the room n esp the work, mm ni amateur phtgrapher, nikipata muda napenda kupiga pic, i hope i can share sum of my work hapa as well, critics are always welcome
Ps: all pics posted are mine, unless otherwise stated

forodhani, znz, canon shot, HDR
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    1.6 MB · Views: 1,136
I luv the room n esp the work, mm ni amateur phtgrapher, nikipata muda napenda kupiga pic, i hope i can share sum of my work hapa as well, critics are always welcome
Ps: all pics posted are mine, unless otherwise stated

forodhani, znz, canon shot, HDR
Hata mimi napenda picha na namshukuru Eqlypz kwa msaada wake,nilikuwa najipigia picha tu,hivi sasa atleast nina mwanga na jinsi ya kupiga photo,mambo ya Manual,Aperture, ss,focus etc ,sasa napigana kujifunza editing na nimeanza kujifunza LR4,na napenda sana kupiga picha na napiga RAW na Manual focus tu.Ungekuwa Dar tungetafutana ,ila kitu kmojan upigaji picha ni gharama kwani vifaa vyake ni aghali na havipatikani hapa Bongo,kwa mfano lens hazipo mimi natumia Canon 600D lengo ni ku-upgrade hapo baadaye nipate full frame camera na nataka nianzie na kununua lens na lens ya kawaida sana hapaDar inaanzia 1million ,hata shutter release bongo hakuna.Je hapo zanzibar kuna duka linauza vifaa vya camera,mimi natumia Canon.
 
Hata mimi napenda picha na namshukuru Eqlypz kwa msaada wake,nilikuwa najipigia picha tu,hivi sasa atleast nina mwanga na jinsi ya kupiga photo,mambo ya Manual,Aperture, ss,focus etc ,sasa napigana kujifunza editing na nimeanza kujifunza LR4,na napenda sana kupiga picha na napiga RAW na Manual focus tu.Ungekuwa Dar tungetafutana ,ila kitu kmojan upigaji picha ni gharama kwani vifaa vyake ni aghali na havipatikani hapa Bongo,kwa mfano lens hazipo mimi natumia Canon 600D lengo ni ku-upgrade hapo baadaye nipate full frame camera na nataka nianzie na kununua lens na lens ya kawaida sana hapaDar inaanzia 1million ,hata shutter release bongo hakuna.Je hapo zanzibar kuna duka linauza vifaa vya camera,mimi natumia Canon.

Hi kyela, mi niko dar, hii nilipiga tu on holiday in znz, wewe uko juu sana kama unapiga Raw mi napiga normal tena bado sijaingia full manual natumia semi auto functions, natumia pia canon 600D :) naishi kigamboni, wewe
 
Last edited by a moderator:
Hi kyela, mi niko dar, hii nilipiga tu on holiday in znz, wewe uko juu sana kama unapiga Raw mi napiga normal tena bado sijaingia full manual natumia semi auto functions, natumia pia canon 600D :) naishi kigamboni, wewe

Ni meku PM angalia inbox yako Private message,jaribu kupost picha zake Facebook kwenye Canon 600D group huko ndio kuna ufundi wa mambo mbalimbali,hapa JF watu hawapigi picha wana copy na kupaste wengi wameaacha ,kwenye group utakuta wanaweka na setting ya hizo picha na tuition
 
Back
Top Bottom