Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
A desperate scene at the Yarmouk Palestinian refugee camp near Damascus.
Elsewhere in the Thai capital, police commandos participate in an anti-terrorism exercise.
Gues where????
Huko ni Mkoani Manyara Babati
What a beautiful BW pic, am a big fan of BW and this pic has done it all justice, brilliant job mateBlack and White.
Hata mimi napenda picha na namshukuru Eqlypz kwa msaada wake,nilikuwa najipigia picha tu,hivi sasa atleast nina mwanga na jinsi ya kupiga photo,mambo ya Manual,Aperture, ss,focus etc ,sasa napigana kujifunza editing na nimeanza kujifunza LR4,na napenda sana kupiga picha na napiga RAW na Manual focus tu.Ungekuwa Dar tungetafutana ,ila kitu kmojan upigaji picha ni gharama kwani vifaa vyake ni aghali na havipatikani hapa Bongo,kwa mfano lens hazipo mimi natumia Canon 600D lengo ni ku-upgrade hapo baadaye nipate full frame camera na nataka nianzie na kununua lens na lens ya kawaida sana hapaDar inaanzia 1million ,hata shutter release bongo hakuna.Je hapo zanzibar kuna duka linauza vifaa vya camera,mimi natumia Canon.I luv the room n esp the work, mm ni amateur phtgrapher, nikipata muda napenda kupiga pic, i hope i can share sum of my work hapa as well, critics are always welcome
Ps: all pics posted are mine, unless otherwise stated
forodhani, znz, canon shot, HDR
Hata mimi napenda picha na namshukuru Eqlypz kwa msaada wake,nilikuwa najipigia picha tu,hivi sasa atleast nina mwanga na jinsi ya kupiga photo,mambo ya Manual,Aperture, ss,focus etc ,sasa napigana kujifunza editing na nimeanza kujifunza LR4,na napenda sana kupiga picha na napiga RAW na Manual focus tu.Ungekuwa Dar tungetafutana ,ila kitu kmojan upigaji picha ni gharama kwani vifaa vyake ni aghali na havipatikani hapa Bongo,kwa mfano lens hazipo mimi natumia Canon 600D lengo ni ku-upgrade hapo baadaye nipate full frame camera na nataka nianzie na kununua lens na lens ya kawaida sana hapaDar inaanzia 1million ,hata shutter release bongo hakuna.Je hapo zanzibar kuna duka linauza vifaa vya camera,mimi natumia Canon.
Hi kyela, mi niko dar, hii nilipiga tu on holiday in znz, wewe uko juu sana kama unapiga Raw mi napiga normal tena bado sijaingia full manual natumia semi auto functions, natumia pia canon 600D naishi kigamboni, wewe