Photo:maafande zoezini

Mwezi uliopita wakati Rwanda wanaadhimisha miaka 50, walionyesha mbinu za kivita, mf kushuka kwa maparachute uwanjani nk.. Kwetu tulionysha jinsi ya kupasua mawe.



sisi inamaanisha ukiishiwa risas unamvunja mgongo adui!!!
na kumpeleka inocent yeyote mabwepande!!!
 
mmh!hizi kazi zingine lazima uwe na wito kiukweli,ila kama ndo unaenda eti ajira ngumu kitaa haumalizi mwaka ushakimbia loh!!
 
Mnakosea.
Hapo wanalazimisha akili zirudi kichwani kutokea zilikokuwa(Masaburini)!:A S 465:

That is advance kind of exercise. Inasemekana inasaidia kuboresha blood circulation na kukuwezesha kucontrol kizunguzungu.
 
Inaonesha ni namna gani majitu ambavyo hayajapitia hata mafunzo ya JKT afadhali irudishe maana inaonekana wengi upeo wao wa kufikiri ni finyu kwelikweli maan inashangaza aina ya maoni yanayotolewa humu utadhani ni mijitu ya Afghanistan,je inawezekana kweli nchi hii ikaja kuendelea kama fikra za watu wake waliosoma ni kama wa humu jamii. Mungu aiokoe nchi na kizazi hiki.Yaani huwa nashangaa mtu analeta hoja fulani lakini wachangiaji wote ziro brain,hata kufikiri tu kunahitaji....!?
 
Back
Top Bottom