Jiwe la Ukara
Member
- Jul 15, 2011
- 44
- 31
Mhe. Mulugo, Naibu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi alisoma High School Songea Boys kuanzia mwaka 1994-1996. Habari za kuaminika kutoka kwa mmoja wa wanafunzi wa Songea Boys kipindi hicho anasema kuwa Philipo Mulugo wa sasa sio yule aliyekuwa Songea Boys kipindi hicho. Mtoa habari anasema kuwa Philipo Mulugo wa sasa alikuwa anaitwa Amimu Agustino ambaye alikuwa ni rafiki mkubwa na Philipo Mulugo ambaye si huyu wa sasa (Mbunge wa Songwe na Naibu Wazirin wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi).
Mtoa taarifa anaendelea kusema kuwa mara baada ya kuhitimu kidato cha sita Amimu Agustino alimwomba cheti Philipo Mulugo ili akitumie kupata kazi ya ualimu pale Southern Highland Secondary School. Kuanzia hapo Amimu Agustino alianza kutambulika kama Philipo Mulugo.
Mtoa taarifa anaendelea kujuza kuwa Philipo Mulugo mwenyewe ni Mwajiriwa serikalini na miaka michache iliyopita alimaliza masomo yake ya Shahada ya Pili (Masters) pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Mwenye taarifa zaidi atuabalishe kuhusu habari hizi.
Mtoa taarifa anaendelea kusema kuwa mara baada ya kuhitimu kidato cha sita Amimu Agustino alimwomba cheti Philipo Mulugo ili akitumie kupata kazi ya ualimu pale Southern Highland Secondary School. Kuanzia hapo Amimu Agustino alianza kutambulika kama Philipo Mulugo.
Mtoa taarifa anaendelea kujuza kuwa Philipo Mulugo mwenyewe ni Mwajiriwa serikalini na miaka michache iliyopita alimaliza masomo yake ya Shahada ya Pili (Masters) pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Mwenye taarifa zaidi atuabalishe kuhusu habari hizi.
alutation | Honourable | Member picture |
First Name: | Philipo | |
Middle Name: | Augustino | |
Last Name: | Mulugo | |
Member Type: | Constituency Member | |
Constituent: | Songwe | |
Political Party: | CCM | |
Office Location: | P.O. Box 9121, Dar Es Salaam | |
Office Phone: | +255 754 315 922/+255 784 315 922 | |
Ext.: | ||
Office Fax: | ||
Office E-mail: | pmulugo@parliament.go.tz | |
Member Status: | Current Member | |
Start date: | ||
End date: | ||
Date of Birth | 27 January 1972 |
EDUCATIONS | ||||
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
Rukwa Primary School, Chunga | Primary Education | 1982 | 1989 | PRIMARY |
Mbeya Secondary School | O-Level Education | 1990 | 1993 | SECONDARY |
Songea Boys' High School | A-Level Education | 1994 | 1996 | HIGH SCHOOL |
Open University of Tanzania | BA (Economics Education ) | 2002 | 2008 | GRADUATE |
CERTIFICATIONS | ||||||
Certification Name or Type | Certification No. | Issued | Expires | |||
No items on list | ||||||
EMPLOYMENT HISTORY | |||
Company Name | Position | From Date | To Date |
The Parliament of Tanzania | Member - Songwe Constituency | 2010 | 2015 |
Southern Highland Secondary School | School Managing Director | 2008 | 2010 |
Southern Highland Secondary School | Administrative & Personnel Officer | 2005 | 2010 |
Southern Highland Secondary School | Teacher | 2000 | 2004 |
POLITICAL EXPERIENCE | |||
Ministry/Political Party/Location | Position | From | To |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Member - National Executive Committee | 2008 | |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Secretary General - Mbeya Region (Parents) | 2008 | |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Member - Chunya District Political Committee | 2007 |
PUBLICATIONS | ||||||
Description | Published Date | |||||
No items on list | ||||||
SPECIAL SKILLS | ||||||
Skill Name or Description | Years Experience | Acquired Through | Skill Level | |||
No items on list | ||||||
RECOGNITIONS | ||||||
Recognition Type | Recognition Date | Reason | Action Taken | Issued by | ||
No items on list | ||||||