Amuulize Hugo Chavez na nini kiliipata Venezuela
Its obvious...
LUMUMBA rudisha avatar yako ya awali kabla ya hii ya sasa, ilikuwa poa na upekee sana kama posts zako zilivyo.Kaka Barbarosa rekebisha hapo juu ya picha.
Huyo siyo raisi Xi Jinping ila ni waziri mkuu Li Keqiang.
Hii movie anayocheza huyu mwehu tumeshaiona before na tunajua exactly kitakachotokea nachosilkitika Philippines wote wataingizwa kwenye hili shimo, na huyo Gadaffi mnayemwona mungu mtu aliua sana Libyans kwenye Arab Spring na jeshi lake lilikuwa likiongozwa na mwanaye (jina???) walichinja Libyans kama kuku mpaka NATO walipoingilia so he can be your hero lakini alikuwa enemy of many ndani ya Libya na wengi walipoteza maisha na ujinga wake kama wa Durtete, alipoteza 20 yrs na kuingiza the whole Nation in sanctions ili kulinda terrorist wateka ndege kwa ajiri ya ubwege tuu kitu ambacho angeweza avoidMY TAKE: Yanazidi kutimia na laana ya kumuua Gadafi inazidi kumuandama Raisi wa USA Barack Obama anazidi kuibomoa na kuitenga USA, sasa kwa mara ya kwanza nchi ya Ufilipino chini ya Raisi Duterte imeamua kusitisha uhusiano wake na USA na kujiunga rasmi na mhimili wa Uchina, Urusi &Co.!
Kama D.trump anavyosema ,,no one respects USA anymore" na ni ukweli kabisa, tumebakia Afrika tu ndiyo tunaolamba viatu vya Wazungu lkn Dunia yote imeshaamka!
Hii inakuja baada ya Raisi huyo wa Ufilipino kuamrisha majeshi yote ya USA kuondoka Ufilipino, sasa hili ni pigo kubwa sana kwa Obama na USA kwani Ufilipino ni muhimu sana kwa USA!
Mkuu hujui kwamba Arab spring ilipandikizwa nahao hao US!!!?Hii movie anayocheza huyu mwehu tumeshaiona before na tunajua exactly kitakachotokea nachosilkitika Philippines wote wataingizwa kwenye hili shimo, na huyo Gadaffi mnayemwona mungu mtu aliua sana Libyans kwenye Arab Spring na jeshi lake lilikuwa likiongozwa na mwanaye (jina???) walichinja Libyans kama kuku mpaka NATO walipoingilia so he can be your hero lakini alikuwa enemy of many ndani ya Libya na wengi walipoteza maisha na ujinga wake kama wa Durtete, alipoteza 20 yrs na kuingiza the whole Nation in sanctions ili kulinda terrorist wateka ndege kwa ajiri ya ubwege tuu kitu ambacho angeweza avoid
USA has failed already and it will fail over and over again. Russia is the only nation on earth ready to defend humanity. My take ni kwamba now power is changing from America and Western Europe to Eastern (Russia) and Asia where there's India, China etc. Russians are back and they're not going anywhere soon.Ni kweli Mkuu
Tumemuona hata Uturuki akiomba radhi kwa Mrusi kwa kitendo chake alichomfanyia Urusi, na hata hivi juzi waliingia mikataba ya kibiashara japo yeye ni NATO lakini kawapuuza wenzie kwa kitendo cha kumwekea Vikwazo Mrusi.
Na inaonyesha kwa sasa Mataifa mengine yatafuata nyao ya Rais Duterte kwa ujasiri aliuwafanya,
Sema kwa upande wa Africa bado tumelala kwa kuogopa kutopatiwa misaada, ila Burundi wamedhubutu kwa kujiondoa kwenye kichaka ICC kilichowekwa kwa ajili ya viongozi wa Africa.
Mkuu hujui kwamba Arab spring ilipandikizwa nahao hao US!!!?
Koba,,you don't know anything about world politics and international relations and most of all you don't even know the Arab spring and who created that. Gadaffi was a hero in Africa and we will always remember him.Mkuu hujui kwamba Arab spring ilipandikizwa nahao hao US!!!?
HIvi Syria Assad family kutawala milele daima? USA oyee baada ya Rais African American karibu bi Hillary.[/QUOTE
Asante mkuu.Sina haki yakuchangia mawazo yangu umu.Wewe ndio unahaki pekee yakuchangia make unaongea ukweli mtupu na unahaki yakunidhihaki kwani nimeaandika pumba tupu nasijui chochoteKoba,,you don't know anything about world politics and international relations and most of all you don't even know the Arab spring and who created that. Gadaffi was a hero in Africa and we will always remember him.
Asante mkuu.Sina haki yakuchangia mawazo yangu umu.Wewe ndio unahaki pekee yakuchangia make unaongea ukweli mtupu na unahaki yakunidhihaki kwani nimeaandika pumba tupu nasijui chochote
Hahaha acha upuuzi watu walikuwa wanataka haki na demokrasi bada ya kutawaliwa 40 yrs kwa udkteta na Gadaffi na Mubaraki na wapuuzi wengine leo mnasema west ndio waliohusika? akili zenu matope sana nyie na hao wakomunist sijui mnaona nini cha maana walichoifanyia dunia zaidi ya kuongeza njaa tuu,angalia Venezuela,Cuba etc walioamua kujiingiza na beef za kijinga wamefika wapi?Mkuu hujui kwamba Arab spring ilipandikizwa nahao hao US!!!?
Unaongea fictions tuu hakuna unachojua acha kutupotezea mudaKoba,,you don't know anything about world politics and international relations and most of all you don't even know the Arab spring and who created that. Gadaffi was a hero in Africa and we will always remember him.
Haya sasa Gaddafi ameshaondolewa na kuuwawa......Hahaha acha upuuzi watu walikuwa wanataka haki na demokrasi bada ya kutawaliwa 40 yrs kwa udkteta na Gadaffi na Mubaraki na wapuuzi wengine leo mnasema west ndio waliohusika? akili zenu matope sana nyie na hao wakomunist sijui mnaona nini cha maana walichoifanyia dunia zaidi ya kuongeza njaa tuu,angalia Venezuela,Cuba etc walioamua kujiingiza na beef za kijinga wamefika wapi?
Communism killed millions just FYI na wengine wasiojuaDid communism killed red indies? Did communism bombed Nagasaki and Heroshima in 1945? Did Russians bombed Vietnam in 1960's? Did Russians bombed Iraq in 2000's? Did Russians bombed Afghanistan in 1980's? Did Russians bombed Laos? Did Russians bombed Libya, Yemen, and created Arab spring? if not Russians then who did that? would you please tell me at least one country which has been bombed by the Russian in this world? can you at least answer that?