<br />Kwani ana umri gani? Mbona nimesikia ndo kwanza katimiza 40.
<br />
<br />
inamama zile nywele kapaka rangi?
Mnalalamikia ajira wakati mababu zenu kibao wapo makazini kwa mikataba.Ni hofu ya kustaafuna sio utaalamu ingekuwa utaalamu vijana wapo wengi, maana mtaani stamina au la inakula kwako!Wakati wa sakata la Jairo tuliambiwa kuwa Luhanjo angestaafu tarehe 09/ 12/ 11 baada ya kufanikisha sherehe za miaka 50 ya uhuru. Juzi juzi nimemsikia akitaja majina ya mabalozi wapya walioteuliwa kuchukua kazi kwenye nchi mbalimbali. Leo hii bado siku 6 tumalize mwaka. Je huyu Luhanjo ajira yake haina kikomo?
Mnalalamikia ajira wakati mababu zenu kibao wapo makazini kwa mikataba.Ni hofu ya kustaafu maana mtaani stamina au la inakula kwako!
na nimemuona kwenye picha akisimamia uapishwaji wa hao mabalozi juzi Ikulu. hata kama wamemwongezea muda si watanzania tunapaswa kufahamishwa?Wakati wa sakata la Jairo tuliambiwa kuwa Luhanjo angestaafu tarehe 09/ 12/ 11 baada ya kufanikisha sherehe za miaka 50 ya uhuru. Juzi juzi nimemsikia akitaja majina ya mabalozi wapya walioteuliwa kuchukua kazi kwenye nchi mbalimbali. Leo hii bado siku 6 tumalize mwaka. Je huyu Luhanjo ajira yake haina kikomo?
Nadhani mtoa mada swali lake lipo justified.
na nimemuona kwenye picha akisimamia uapishwaji wa hao mabalozi juzi Ikulu. hata kama wamemwongezea muda si watanzania tunapaswa kufahamishwa?
na nimemuona kwenye picha akisimamia uapishwaji wa hao mabalozi juzi Ikulu. hata kama wamemwongezea muda si watanzania tunapaswa kufahamishwa?
Kwani si kina yale mapendekezo ya kamati maalum iliyoundwa kuchunguza sakata la Jairo si ilionyesha kuwa naye ana hatia! Sasa hiyo siyo sababu tosha ya kum-sideline?
na nimemuona kwenye picha akisimamia uapishwaji wa hao mabalozi juzi ikulu. Hata kama wamemwongezea muda si watanzania tunapaswa kufahamishwa?