Philemon Luhanjo: Ni nini kazi yake? Mbona hastaafu?

The news I have is that the guy is up for retirement this month and that he is on leave for retirement. Lets wait and c.
 
Kweli ni msee wa ushauri ila ni mrahisi kudanganywa. Mliman city project, Masha's National ID, kuwalinda jamaa fulani wanomlinda sijui noo Tuwaombee viongozi wetu wawe werevu na ikibidi wawe madicteta.
 
Sina banzi la kumtoa mzee Luhanjo ingawa hawezi kuwa msafi ni mshauri wa rais na boss wa makatibu kwenye ofisi ya raisi kama sikosei wapo wawili au watatu
 
Ni mkuu wa Utumishi wa Umma, soma employment and labour relations Act of 2004, ni secretary to the cabinet soma Katiba Article 60 (kazi zote zimeanishwa huko).

60. Kutakuwa na Katibu wa Baraza la Mawaziri ambaye atakuwa ndiye mtendaji mkuu katika Ofisi ya Baraza la Mawaziri, na atatekeleza shughuli zifuatazo kwa kufuata maagizo ya jumla au maalum atakayopewa na Rais, yaani:

(a) kuanda ratiba ya mikutano ya Baraza na kutayarisha orodha ya shughuli za kila mkutano;
(b) kuandika na kuweka kumbukumbu za mikutano ya Baraza;
(c) kutoa taarifa na maelezo ya maamuzi ya Baraza kwa
kila mtu au chombo cha umma kinachohusika na uamuzi wowote; na kutekeleza kazi na shughuli nyingine zozote atakazoagizwa mara kwa mara na Rais.

###########################

Katibu Mkuu Kiongozi ndiye Katibu wa Baraza la Mawaziri
 
60. Kutakuwa na Katibu wa Baraza la Mawaziri ambaye atakuwa ndiye mtendaji mkuu katika Ofisi ya Baraza la Mawaziri, na atatekeleza shughuli zifuatazo kwa kufuata maagizo ya jumla au maalum atakayopewa na Rais, yaani:

(a) kuanda ratiba ya mikutano ya Baraza na kutayarisha orodha ya shughuli za kila mkutano;
(b) kuandika na kuweka kumbukumbu za mikutano ya Baraza;
(c) kutoa taarifa na maelezo ya maamuzi ya Baraza kwa
kila mtu au chombo cha umma kinachohusika na uamuzi wowote; na kutekeleza kazi na shughuli nyingine zozote atakazoagizwa mara kwa mara na Rais.

###########################

Katibu Mkuu Kiongozi ndiye Katibu wa Baraza la Mawaziri



Na yeye ndiye Katibu Mkuu Kiongozi!
 
TzPride umenena. Unajua, sometimes jazba na mzaha uachwe pembeni. Ebu kaulize Wabena na Wakinga wote walio madarakani ambao hata mtoto mdogo anajua hawafai lakin wako kwenye nafasi kubwa za madaraka. Matokeo yake, ofisi hizo zinakwiba hovyo hovyo tu mali ya umma na kesi zikifika Ikulu zinazimwaaaaaaa!!! Nani anasema Ukabila Tanzania hakuna??????? Amuulize Luhanjo. Gazeti la ''MwanaHalisi'' waligusia hili lakini nao sijui walimezeshwa gololi!!!!???
 
Luhanjo ni corrupt na mkabila tangu akiwa mambo ya nje kama katibu mkuu,mkwere alimchukua kumfichia
baadhi ya madhambi yake alipokuwa pale.Sasa hivi alikuwa ana struggle ili aongezewe mkataba wa kuendelea
kukaa pale magogoni baada ya kustaafu,sijui atafanikiwa?
 
Hivi kazi yake ni nini haswa? And please dont give me his job description. Hivi yuko pale alipo anafanya kazi gani haswa?

Just curious

hujui kazi ya KATIBU MKUU kiongozi? sielewi tatizo lako ni uvivu wa kufuatilia mambo, kusoma au ujinga?
 
Katibu Mkuu Kiongozi ndie Katibu wa Baraza la Mawaziri kwa nafasi yake!

Katiba inataja nafasi ya "katibu wa Baraza la Mawaziri". Hivyo basi ni dhahiri hii nafasi ndiyo inajazwa kwanza, na ikijazwa , huyu aliyepewa nafasi hii anakuwa ndiye "Katibu Mkuu kiongozi"
 
Nasikia anastaafu muda siyo mrefu na amepewa toyota land cruizer v8 mpya..

Huyu jamaa ana nguvu kubwa sana serikalini yeye ni katibu wa baraza la mawaziri ambapo jk ndiye mwenyekiti.
 
TzPride umenena. Unajua, sometimes jazba na mzaha uachwe pembeni. Ebu kaulize Wabena na Wakinga wote walio madarakani ambao hata mtoto mdogo anajua hawafai lakin wako kwenye nafasi kubwa za madaraka. Matokeo yake, ofisi hizo zinakwiba hovyo hovyo tu mali ya umma na kesi zikifika Ikulu zinazimwaaaaaaa!!! Nani anasema Ukabila Tanzania hakuna??????? Amuulize Luhanjo. Gazeti la ''MwanaHalisi'' waligusia hili lakini nao sijui walimezeshwa gololi!!!!???

Wenye data wamekaa kimya, ninyi kazi yenu kupiga porojo tu. Wabena na wakinga wamefanya nini kwenye suala hili la Luhanjo. Mwongelee Luhanjo kama Luhanjo. Wakuu wa JF itabidi watafute namna ya ku-filter watu wasio na hoja kama huyu. Tabia ya mtu ina uhusiano gani na kabila lake kiasi cha kuwa na general statement kama hiyo!!! Ningekuwa na uwezo, mijitu kama wewe ningeichinjilia mbali ipotee kwenye uso wa dunia hii ili wengine waishi kwa amani.
 
Hivi kazi yake ni nini haswa? And please dont give me his job description. Hivi yuko pale alipo anafanya kazi gani haswa?

Just curious

huyo ametokanaye pale Foreign ministry kazi yake kubwa ni kumtafutia mkwere mademu
 
Katibu Mkuu Kiongozi (Chief Secretary), Philemon Luhanjo ametimiza miaka 60 tangu mwaka 2006 na hivyo akatakiwa kustaafu kwa lazima.

Hata hivyo, iliongezewa miaka 3 na swahiba wake (Rais Jakaya Mrisho Kikwete) kama kanunu za utumishi wa Umma zinavyoruhusu na hivyo kutakiwa kustaafu rasmi mwaka 2009. Since then huyu jamaa anakalia ofisi ya Umma isivyo halali kwa kuwa Rais Kikwete anampenda kwa sababu ndiye aliyekuwa Katibu Mkuu (KM) wake akiwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Tunataka kujua ni kwa nini Luhanjo hataki kuachia kiti cha Ukatibu Mkuu kiongozi? Na kwa nini JK amekaa kimya? Siku akiondoka atakatwa mishahara yote aliokuwa anakula baada ya kufikisha miaka 63 kwenye Pensheni yake? Je huu nao sio Ufisadi?
 
Hajapatikana mtu wa kumreplace.

NATA,
Sidhani kama ni sahihi kusema kwamba hajapatikana mtu wa kumreplace. Utitiri wote tulionao wa wasomi kuanzia maafisa wa waandamizi wa serikali, Makatibu Wakuu, Manaibu Makatibu Wakuu, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakurugenzi wa Mashirika ya Umma, Wilaya, na Majiji si sahihi kusema kwamba Philemon Luhanjo hajapata mtu wa kumreplace. Mbona alivyoondoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kama KM nafasi yake ilifanyiwa replacement fasta? There is a hidding secreat between Luhanjo and Kikwete.
 
Back
Top Bottom