PhD ya Magufuli na wanasiasa wengine zichunguzwe upya!

MchunguZI na Arafat inaonekana kama mmetumwa kumchafua Magufuli kwa record yake ya utendaji katika serikali. Katika mawaziri wote wa CCM, hakuna mwenye record nzuri ya kufanya kazi na kusimamia kama taratibu, sheria, kanuni na maamuzi mengine ya baraza la mawaziri (Japo la ovyo ovyo) kama Magufuli. Kwa vigezo vyote ukimlinganisha na mawaziri wengine, yeye ndo anaonekana ana-afadhali ya kuweza kuweka competition kwenye kinyang'anyilo cha urais katika uchaguzi ujao. Sasa mmeanza kumchafua kwa sababu za kijinga wakati watanzania wengi wanamkubali. Magufuli ni mtendaji mzuri na anayesimamia maneno yake, wengine ni wasanii wakiongozwa na mkuu wao na kiongozi wao. Magufuli chapa kazi, hata siku ikitokea ukajenga fly overs, usiangalie nyani usoni, bomoa mpaka Ikulu ikibidi. Tunataka maendeleo ya miaka elfu moja mbele siyo ya miaka mitano.
Bomoa hadi ikulu kwa vile unadhani bomoa za hovyo ni akili na maendeleo.Hata nchi zilizoendelea mika mingi wana miti ambayo mipango yake ni makini..ila hawabomoa majengo ktk hiyo miji zaidi ya kuifanya ikalike vyema.Tz haijawahi weza pima hata robo ya nchi achilia mbali kuwa ramani moja ya huko walipopima sasa ukivunja nchi nzima zi bora ukaanzishe mijini mingine?
 
Hivi ni kweli magufuli hajawahi jua kwamba ARDHI ya DAR INA APPRECIATE kwa kasi kubwa kiasi cha kumeza mara nyingi thamani ya nyumba ktk miji mingi achilia mbali Dar..Hadi akaunza ARDHI+NYUMBA kwa bei ya DEPRECIATION Ya A NYUMBA? Au kipindi hicho hakuwa kasoma?Hembu mnisaidie aisee kwani napata kichefuchefu sana na huyu NYAPARA.Pengine mniambie km mnapotaka awe mkuu wa boma tongotongo zimemtoka.
 
MchunguZI Umeeleweka vizuri hoja yako
Tatizo watuhumiwa wa hoja kama hizi huwa hawazijibu kwani wenye majibu ni wao wenyewe na sio wapambe wao...tumsubiri Profesa labda atajisafisha
 
Last edited by a moderator:
Hivi ni kweli magufuli hajawahi jua kwamba ARDHI ya DAR INA APPRECIATE kwa kasi kubwa kiasi cha kumeza mara nyingi thamani ya nyumba ktk miji mingi achilia mbali Dar..Hadi akaunza ARDHI+NYUMBA kwa bei ya DEPRECIATION Ya A NYUMBA? Au kipindi hicho hakuwa kasoma?Hembu mnisaidie aisee kwani napata kichefuchefu sana na huyu NYAPARA.Pengine mniambie km mnapotaka awe mkuu wa boma tongotongo zimemtoka.

Appreciate or depreciate? ??? Ardhi doesn't appreciate rudi darasani ndo urudi hapa...unasema usichokijua
 
Uwezo wa Magufuri unaonekana wazi kuwa ni mdogo sasa, haiitaji kuangalia CV yake; pia ni muongo, uelewa wake siyo hata wa Master degree labda form four; hakuna PhD holder anaweza kufikiria kubomoa jengo la Tanesco Ubungo wakati lilijengwa yeye mwenyewe Magufuri akiwa waziri, kwasababu ya kutafuta sifa za kisiasa na kuitia Serikali na Umma hasara ya Mabilioni yaliyotumika kujenga hilo jengo.

Mimi mtu anayemshabikia magufuri uwa namuona kama juha, hasiyejua Dunia inakwenda wapi na inatoka wapi. Hakuna jambo la maana hata moja ambalo nimewahi kumsikia akionge hata siku moja tokea nimeanza kumfahamu

Ebu tupe data huyo Prof wake na mambo yote hachana nao wake wa Magufuri

Mmmmm HII NI CHUKI TU DHIDI YA MAFANIKIO YA MAGUFULI NATAMANI NINGEFAHAMU UNACHOFANYA NA SO FAR KIMEKUWA NA IMPACT GANI KWA TANZANIA. MY FOOT
 
Duh!
Hapo kwenye red font ndo umenimaliza. Hiyo ni ishara ya ushabiki wa ndoa. Yaonekana una ndoa na Magufuli maana hoja ilikuwa pana ikiwahusisha wanasiasa woote pamoja na vyuo vyao.

Kwako wewe tatizo ni Magufuli hata kama wengine wakiondolewa Ph.D, haikupi taabu.

Sasa unatetea kwa pointi za kizembe! PhD inapatikana kwa kula cafeteria na kupiga stori za kianafunzi? takataka!

Nakupa task ili ushabiki ukutoke. Unamfahamu aliyesimamia hiyo Ph.D? Unafahamu sasa hivi yuko wapi?

Ukilazimisha nitakupa mambo ya aibu ya shule hiyo lakini hapa ni kwa wanajamii. Tunataka utu na akili itumike.

Usimuinue mtu bila sababu maana hiyo CV ya magufuli iko wazi kuliko unavyoificha.
Unafahamu Master aliisoma miaka mingapi?

Sisi wananchi hatuna shida na phd yake iwe feki au sio, wewe kama unaona hakustahili nenda ukalalamike sehemu husika zaidi ya hapo ni wivu wako kwa magufuli.
Badala ya kutuambia madhaifu yake kwenye utendaji unaenda kwenye maisha yake binafsi huo ni wivu wa kike
 
With all said, ninavyojua UDSM ni sehemu ngumu sana mtu kupata PHD. Ndio maana wengi huwa wanaenda kuchukua nje. Na watu waliokimbia kabla ya kumaliza PhD zao wako wengi tu
 
watu wa CCM kampeni za urais za kuchafuana msilete hapa....mwaka 2015 huko ccm mtu pekee mwenye ubavu wa kusimama na CHADEMA ni dr magufuli....mkilogwa mkimsimamisha mgombea mwingine zaid ya huyo mjuwe CHADEMA watachukuwa nchi.........
Magufuli endelea kuchapa kazi ......wenye degree za bure na za chupi hamuwaoni?

Mkuu Phillemon Mikael, naona hili uliloliona 2011, ccm nao kumbe walishajipima wakaliona pia.....
 
Last edited by a moderator:
Duh!
Hapo kwenye red font ndo umenimaliza. Hiyo ni ishara ya ushabiki wa ndoa. Yaonekana una ndoa na Magufuli maana hoja ilikuwa pana ikiwahusisha wanasiasa woote pamoja na vyuo vyao.

Kwako wewe tatizo ni Magufuli hata kama wengine wakiondolewa Ph.D, haikupi taabu.

Sasa unatetea kwa pointi za kizembe! PhD inapatikana kwa kula cafeteria na kupiga stori za kianafunzi? takataka!

Nakupa task ili ushabiki ukutoke. Unamfahamu aliyesimamia hiyo Ph.D? Unafahamu sasa hivi yuko wapi?

Ukilazimisha nitakupa mambo ya aibu ya shule hiyo lakini hapa ni kwa wanajamii. Tunataka utu na akili itumike.

Usimuinue mtu bila sababu maana hiyo CV ya magufuli iko wazi kuliko unavyoificha.
Unafahamu Master aliisoma miaka mingapi?

Mbona hamhoji ile ya mzee wa kiraracha?
 
Magufuli's PhD is pure and matured. Myonge myongeni, lakini hakiyake mpeni:spider:Jengo la tenesco halisaidii hata pesa inayotumika barabarani kwa wiki moja, mwacheni Dr Pombe afanye kazi. Tena ilibidi tuandamane kummunga mkono.
Kweli kabisa. Kuhusu Tanesco wa kumlaumu zaidi noi yule aliyetoa go ahead jengo lijengwe hapo. Hakuwa na mawazo ya mbele hata kidogo.
 
Yanayotokea Libya yanawatia taabu baadhi ya wakuu wa vyuo huko Ulaya. Kwa mfano huu;

The director of the London School of Economics (LSE), Sir Howard Davies has resigned over its links to Libyan leader Col Muammar Gaddafi. ...

He said the decision to accept £300,000 for research from a foundation run by Col Gaddafi's son Saif had "backfired".

The LSE has already announced it is investigating claims that Saif Gaddafi plagiarised his PhD thesis, which was awarded in 2008.

Huko Ujerumani nako kuna haya;
Germany's defence minister Karl-Theodor zu Guttenberg was forced to resign today after admitting plagiarising large chunks of his doctoral thesis

Zu Guttenberg, 39, agreed to drop his doctor title nearly a fortnight ago over allegations he copied chunks of his PhD thesis from newspapers and the Internet.

Hapa kwetu je?
Huyu anayeitwa Dr Magufuli inaeleweka kabisa hakuingia maabara kufanya kazi iliyompa Ph.D.


Hatua gani ichukuliwe kwa profesa aliyesaidia udanaganyifu huu kama ilivyomtokea Sir Howard Davies?

UD kama chuo, kimechukuwa hatua gani?

Yeye mwenyewe Magufuli kama ilivyo kwa Zu Guttenberg amechukuwa hatua gani.

Mwisho hao wengine waliotajwa na Mr Msemakweli ktk kitabu chake wako wapi na Ph.D zao?




Achaupumbavu wewe? wewe umesoma wapi??? mimi Magufuli nimemshuhudia live pale UDSM na tunakula msosi wote cafeteria kipindi anasoma PhD and i was in the final Year doing Masters...............Acha propaganda za ki.pu.mba.vu unakesha huku kuandika upuumbavu kama huna kazi za kufanya tafuta wanaume wakushikishe ukuta
 
Duh!
Hapo kwenye red font ndo umenimaliza. Hiyo ni ishara ya ushabiki wa ndoa. Yaonekana una ndoa na Magufuli maana hoja ilikuwa pana ikiwahusisha wanasiasa woote pamoja na vyuo vyao.

Kwako wewe tatizo ni Magufuli hata kama wengine wakiondolewa Ph.D, haikupi taabu.

Sasa unatetea kwa pointi za kizembe! PhD inapatikana kwa kula cafeteria na kupiga stori za kianafunzi? takataka!

Nakupa task ili ushabiki ukutoke. Unamfahamu aliyesimamia hiyo Ph.D? Unafahamu sasa hivi yuko wapi?

Ukilazimisha nitakupa mambo ya aibu ya shule hiyo lakini hapa ni kwa wanajamii. Tunataka utu na akili itumike.

Usimuinue mtu bila sababu maana hiyo CV ya magufuli iko wazi kuliko unavyoificha.
Unafahamu Master aliisoma miaka mingapi?

Sasa na wewe utandauficho ndio gonjwa lako,funguka tuone uhalisia sio bla bla tu
 
Yanayotokea Libya yanawatia taabu baadhi ya wakuu wa vyuo huko Ulaya. Kwa mfano huu;

The director of the London School of Economics (LSE), Sir Howard Davies has resigned over its links to Libyan leader Col Muammar Gaddafi. ...

He said the decision to accept £300,000 for research from a foundation run by Col Gaddafi's son Saif had "backfired".

The LSE has already announced it is investigating claims that Saif Gaddafi plagiarised his PhD thesis, which was awarded in 2008.

Huko Ujerumani nako kuna haya;
Germany's defence minister Karl-Theodor zu Guttenberg was forced to resign today after admitting plagiarising large chunks of his doctoral thesis

Zu Guttenberg, 39, agreed to drop his doctor title nearly a fortnight ago over allegations he copied chunks of his PhD thesis from newspapers and the Internet.

Hapa kwetu je?
Huyu anayeitwa Dr Magufuli inaeleweka kabisa hakuingia maabara kufanya kazi iliyompa Ph.D.

Hatua gani ichukuliwe kwa profesa aliyesaidia udanaganyifu huu kama ilivyomtokea Sir Howard Davies?

UD kama chuo, kimechukuwa hatua gani?

Yeye mwenyewe Magufuli kama ilivyo kwa Zu Guttenberg amechukuwa hatua gani.

Mwisho hao wengine waliotajwa na Mr Msemakweli ktk kitabu chake wako wapi na Ph.D zao?

watu tunaangalia utendaji sio haya matakataka yako... Je wangapi wamefanya practical but still ni zero brain..
 
Back
Top Bottom