PhD. ya Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa, ni sahihi?

WanaJF,
Sidhani kama kuna sababu ya kujibizana. Hoja imejibiwa kwa kina. Wahusika wangekuwa na nia njema wangeandikia vyuo husika na kuomba Prospectus ya vyuo hivyo. Nashauri msihangaike nao na kupoteza muda muhimu kwa ajili ya ajenda za Taifa letu.. Wanayoyasema yaliwaponza Karatu 1995 wakiamini Dr Slaa hajui jukwaa. Hawakujua jambo dogo tu kuwa "Oratory" ni somo katika mfumo wa elimu wa Kanisa Katoliki. Tuliwatandika na tutaendelea kuwatandika. Bado hatujawaambia kuhusu Epistemology, Cosmology, Logic, Philosophy na branches zake zote.. Kama ritz na wenzake inawaburudisha waachieni tu waandike wapendavyo.
Wanayajua yote haya na woga ndio unawasumbua. Wanataka mtu mwenye PhD 'ishirini' za kupewa kumlinganisha na mwenye moja ya kuihangaikia darasani, vitabuni na field!
 
WanaJF,
Sidhani kama kuna sababu ya kujibizana. Hoja imejibiwa kwa kina. Wahusika wangekuwa na nia njema wangeandikia vyuo husika na kuomba Prospectus ya vyuo hivyo. Nashauri msihangaike nao na kupoteza muda muhimu kwa ajili ya ajenda za Taifa letu.. Wanayoyasema yaliwaponza Karatu 1995 wakiamini Dr Slaa hajui jukwaa. Hawakujua jambo dogo tu kuwa "Oratory" ni somo katika mfumo wa elimu wa Kanisa Katoliki. Tuliwatandika na tutaendelea kuwatandika. Bado hatujawaambia kuhusu Epistemology, Cosmology, Logic, Philosophy na branches zake zote.. Kama ritz na wenzake inawaburudisha waachieni tu waandike wapendavyo.

Unamtandika nani wewe? utakufa kwa pressure mkuu..

Umesomea kanuni za kuongoza kanisa, huko ndio unaweza kutandika wakatoliki wenzako kama ambavyo umewapumbuza wengi wanakufuata kama wanakondoo..

Lakini kwa wenye akili elimu yako ni mwisho wa kuta za kanisa..not beyond that..
 
Wanayajua yote haya na woga ndio unawasumbua. Wanataka mtu mwenye PhD 'ishirini' za kupewa kumlinganisha na mwenye moja ya kuihangaikia darasani, vitabuni na field!

Orodhesha papers alizoandika na journal (peer reviewed journal)..

Nimetafuta sijaona mahli zaidi ya kitabu cha ukurasa kumi za kikatoliki..

Usomi mwingine ni kichefuchefu
 
Unaelewa Phd huwa inapatikana vipi?Au just umetumwa ili kuja kupinga ukombozi wa Taifa,unafikiri Phd mpaka usome degree na masters 2,kweli uwezo wako wa uelewa ni mdogo sana,mzee wangu amesoma diploma,ila ameandika paper nyingi na hicho chuo husika Calfonia University state of USA, baada ya kufanya defence ya research zake akafanikiwa kutunukiwa Phd.
 
Unaelewa Phd huwa inapatikana vipi?Au just umetumwa ili kuja kupinga ukombozi wa Taifa,unafikiri Phd mpaka usome degree na masters 2,kweli uwezo wako wa uelewa ni mdogo sana,mzee wangu amesoma diploma,ila ameandika paper nyingi na hicho chuo husika Calfonia University state of USA, baada ya kufanya defence ya research zake akafanikiwa kutunukiwa Phd.

Tunaongelea PhD ya Slaa, hiyo ya baba yako sidhani kama itatusaidia humu Jamvini..

Achana na ya Mzee wako ebu tuelezee ya Slaa, nje ya Kanisa inatambulika?
 
Wanabodi.

Ili kupata PhD (Doctor of Philosophy) lazima huwe na BA (Bachelor of Arts) na MA (Master of Arts).

Nimepitia CV ya Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa, nimeona kapata PhD yake mwaka 1977 St. Urban University Rome Italy.

Kwenye CV yake hukuna sehemu yoyote kuwa ana BA ama MA.

Kuna njia nyingine ya kupata PhD bila kuwa na MA na BA?

Akili ni mali kila mtu ana zake.
 
Tunaongelea PhD ya Slaa, hiyo ya baba yako sidhani kama itatusaidia humu Jamvini..

Achana na ya Mzee wako ebu tuelezee ya Slaa, nje ya Kanisa inatambulika?

Inatambulika kote duniani ingekuwa imeshafutwa,labda nikuelekeza ili usije ukachekwa,Phd ni research wala si mambo ya degree wala masters,I have done masters of MBA in HRM kunawatu hawakusoma degree walikuwa na diploma na experience ya kazi na vyeti vya mitihani ya bodi kama ya mahesabu au procurement na waliruhusiwa na wamegraduate!
 
WanaJF,
Sidhani kama kuna sababu ya kujibizana. Hoja imejibiwa kwa kina. Wahusika wangekuwa na nia njema wangeandikia vyuo husika na kuomba Prospectus ya vyuo hivyo. Nashauri msihangaike nao na kupoteza muda muhimu kwa ajili ya ajenda za Taifa letu.. Wanayoyasema yaliwaponza Karatu 1995 wakiamini Dr Slaa hajui jukwaa. Hawakujua jambo dogo tu kuwa "Oratory" ni somo katika mfumo wa elimu wa Kanisa Katoliki. Tuliwatandika na tutaendelea kuwatandika. Bado hatujawaambia kuhusu Epistemology, Cosmology, Logic, Philosophy na branches zake zote.. Kama ritz na wenzake inawaburudisha waachieni tu waandike wapendavyo.

katibu acha watu wakujadili unatarajiwa kuwa kiongozi wetu mkuu siku moja hivyo lazima tukufahamu,kuwa mvumilivu,acha watu wajibizane ili ukweli upatikane,ndio siasa za kisasa hizi,kwanini unajaribu kuzuia mjadala?unahofia kitu gani kujulikana kwa wanaokuamini?

Hebu tujibu wewe mwenyewe nje ya kanisa hiyo kitu inakubalika?naona vijana wako wanashindwa kujibu hili kwa kuwa hawana uhakika.
 
Ritz upeo wako ni mdogo sana hutaki kujibu hoja zangu inaonyesha ni kiasi gani vijana wa CCM msivyokuwa na uelewa mmekaa kukalili tu,I advice you urudi shule tena ukasome!
 
WanaJF,
Sidhani kama kuna sababu ya kujibizana. Hoja imejibiwa kwa kina. Wahusika wangekuwa na nia njema wangeandikia vyuo husika na kuomba Prospectus ya vyuo hivyo. Nashauri msihangaike nao na kupoteza muda muhimu kwa ajili ya ajenda za Taifa letu.. Wanayoyasema yaliwaponza Karatu 1995 wakiamini Dr Slaa hajui jukwaa. Hawakujua jambo dogo tu kuwa "Oratory" ni somo katika mfumo wa elimu wa Kanisa Katoliki. Tuliwatandika na tutaendelea kuwatandika. Bado hatujawaambia kuhusu Epistemology, Cosmology, Logic, Philosophy na branches zake zote.. Kama ritz na wenzake inawaburudisha waachieni tu waandike wapendavyo.

nafrai dokta kujitokeza mwenyewe kusema jambo juu ya kile kinachosemwa juu yako

Nadhani ungeenda mbali zaidi ukaweka CV YAKO HAPA KUSAIDIA KWA MAPANA ZAIDI.
 
Inshort mzee slaa elimu yake ni kuongoza kanisa ... Nchi yenye waumini wa dini tofauti hawezi lazma atakuwa biased .. hivi kwa nini aliacha kazi ya kutumikia kondoo ..? Ilikuwa haina dili ama..?

Slaa ni male version ya lwakatare ..
nikikujibu nitakula ban na wabunge wameikomalia jf ngoja nikupotezee
 
Ritz nahofu na uelewa wa elimu yako,Phd ni research even masters ni research,unafikiri Rais wetu Dr slaa ni kama huyo mpuuzi wenu aliyeiba kura na akapewa udocta wa kupewa,kaulize GPA yake hapo Udsm inaendana na matendo yake!
 
WanaJF,
Sidhani kama kuna sababu ya kujibizana. Hoja imejibiwa kwa kina. Wahusika wangekuwa na nia njema wangeandikia vyuo husika na kuomba Prospectus ya vyuo hivyo. Nashauri msihangaike nao na kupoteza muda muhimu kwa ajili ya ajenda za Taifa letu.. Wanayoyasema yaliwaponza Karatu 1995 wakiamini Dr Slaa hajui jukwaa. Hawakujua jambo dogo tu kuwa "Oratory" ni somo katika mfumo wa elimu wa Kanisa Katoliki. Tuliwatandika na tutaendelea kuwatandika. Bado hatujawaambia kuhusu Epistemology, Cosmology, Logic, Philosophy na branches zake zote.. Kama ritz na wenzake inawaburudisha waachieni tu waandike wapendavyo.
Umeshamaliza doctor wenye wivu wajinyonge!
 
Tunaongelea PhD ya Slaa, hiyo ya baba yako sidhani kama itatusaidia humu Jamvini.. Achana na ya Mzee wako ebu tuelezee ya Slaa, nje ya Kanisa inatambulika?
we phd ya slaa inakuhusu na kukusaidia nini? Ongelea u DR wa kikwete kaupataje?
 
katibu acha watu wakujadili unatarajiwa kuwa kiongozi wetu mkuu siku moja hivyo lazima tukufahamu,kuwa mvumilivu,acha watu wajibizane ili ukweli upatikane,ndio siasa za kisasa hizi,kwanini unajaribu kuzuia mjadala?unahofia kitu gani kujulikana kwa wanaokuamini?

Hebu tujibu wewe mwenyewe nje ya kanisa hiyo kitu inakubalika?naona vijana wako wanashindwa kujibu hili kwa kuwa hawana uhakika.

Tunajua hawezi kuja na "Published articles" related na PhD yake zaidi vijitabu vya kanisa katoliki kuhusu kanuni za kufanya ibada..

PhD is limited to church boarders; nje ya hapo ni kichefuchefu..hawezi kuandika na kupublish kitu cha maana kwenye journal trust me..

angekuwa ana uwezo huo aisee "angepaishiwa nafikiri mbiguni" na media
 
dr Slaa daima anatawakimbiza! Mwambie na huyo dr wa kupewa aje kujibu hoja humu! dr slaa hakimbii changamoto.
 
Back
Top Bottom