PhD na Degree za Mwezi Mmoja: Jamani hii inaingia akilini kweli?

KiuyaJibu

JF-Expert Member
Aug 29, 2007
841
175
Kuna jamaa nafikiri wako Marekani kama sijakosea!Mara kwa mara wananitumia matangazo yao kupitia e-mail address yangu kama ujumbe wao unavyojieleza hapa chini.
Hii huduma wanayotoa,binafsi sikubaliani nayo;sijui kuna mtu yeyote ambaye amekumbana na habari kama hii?Hebu wadau hapa ndani naomba mnisaidie,kwa level za elimu walizozitaja hapo kuna uwezekano kweli wakupata elimu hiyo kwa mfumo kama huo?

Get more money for less work

Now you are getting a 100% verifiable degree in just 4-5 weeks, with the help of your work experience.
You can get Bachelors, Masters or Doctorate degree in a few weeks time.

Give us a call now.
1 305 460 5721

Drop us your msg, with your full name and contact number so we can call you back.
 
Kuna jamaa nafikiri wako Marekani kama sijakosea!Mara kwa mara wananitumia matangazo yao kupitia e-mail address yangu kama ujumbe wao unavyojieleza hapa chini.
Hii huduma wanayotoa,binafsi sikubaliani nayo;sijui kuna mtu yeyote ambaye amekumbana na habari kama hii?Hebu wadau hapa ndani naomba mnisaidie,kwa level za elimu walizozitaja hapo kuna uwezekano kweli wakupata elimu hiyo kwa mfumo kama huo?

Get more money for less work

Now you are getting a 100% verifiable degree in just 4-5 weeks, with the help of your work experience.
You can get Bachelors, Masters or Doctorate degree in a few weeks time.

Give us a call now.
1 305 460 5721

Drop us your msg, with your full name and contact number so we can call you back.

Dr Mahanga, Dr Nagu, Dr Kamala, na Dr Majiyatanga wanaweza kukupa maelezo mazuri maana wamepitia vyuo hivi na kupata PHD:D
 
Nadhani Nchimbi pale wizara ya ulinzi anaweza kuwa na msaada kwako!!
 
Kuna jamaa nafikiri wako Marekani kama sijakosea!Mara kwa mara wananitumia matangazo yao kupitia e-mail address yangu kama ujumbe wao unavyojieleza hapa chini.
Hii huduma wanayotoa,binafsi sikubaliani nayo;sijui kuna mtu yeyote ambaye amekumbana na habari kama hii?Hebu wadau hapa ndani naomba mnisaidie,kwa level za elimu walizozitaja hapo kuna uwezekano kweli wakupata elimu hiyo kwa mfumo kama huo?

Get more money for less work

Now you are getting a 100% verifiable degree in just 4-5 weeks, with the help of your work experience.
You can get Bachelors, Masters or Doctorate degree in a few weeks time.

Give us a call now.

Drop us your msg, with your full name and contact number so we can call you back.

Why dont you just ignore the message!
 
Why dont you just ignore the message!

Hili ndo jibu.
Hakuna degree ya kupata ndani ya week hizo. Tungekuwa nazo nyingi zaidi. Tunazo lakini sio za muda mfupi vile..... Halafu pia kumbuka degree inasotewa jamani, sio kitu cha kupata tu.

__****____________*************_____________*******
"Elimu ni ile inayobaki kichwani baada ya kumaliza shule, sio alama ulizopata enzi hizoooo za mitihani" - Mutensa.
 
Dr Mahanga, Dr Nagu, Dr Kamala, na Dr Majiyatanga wanaweza kukupa maelezo mazuri maana wamepitia vyuo hivi na kupata PHD:D

USIMSAHAU NAIBU WAZIRI MATHAYO DAVID,NAIBU WAZIRI NCHIMBI,WILIAM LUKUVI NA AUGUSTINE MREMA WOTE WANA FEKI DIGRI NA phD.
 
USIMSAHAU NAIBU WAZIRI MATHAYO DAVID,NAIBU WAZIRI NCHIMBI,WILIAM LUKUVI NA AUGUSTINE MREMA WOTE WANA FEKI DIGRI NA phD.
Mmemsahau Muheshimiwa Sumaye, duuu, amakweli degree zinauzwa kama karanga kariakoo, ndo maana hamna think tanker sasa hivi pamoja na ma degree makubwa
 
Kuna jamaa nafikiri wako Marekani kama sijakosea!Mara kwa mara wananitumia matangazo yao kupitia e-mail address yangu kama ujumbe wao unavyojieleza hapa chini.
Hii huduma wanayotoa,binafsi sikubaliani nayo;sijui kuna mtu yeyote ambaye amekumbana na habari kama hii?Hebu wadau hapa ndani naomba mnisaidie,kwa level za elimu walizozitaja hapo kuna uwezekano kweli wakupata elimu hiyo kwa mfumo kama huo?

Get more money for less work

Now you are getting a 100% verifiable degree in just 4-5 weeks, with the help of your work experience.
You can get Bachelors, Masters or Doctorate degree in a few weeks time.

Give us a call now.
1 305 460 5721

Drop us your msg, with your full name and contact number so we can call you back.
.....teh teh labda kuna bachelor na masters za heshima kama ilivyo kwa phD....
za akina dk Karume,dk Kikwete,dk Mwinyi n.k. ni ngumu kuzizoea!!!!nimeona bango zanzibar limeandikwa ''dk Karume kinara wa maendeleo''nilifikiri ni mdogo wake kumbe ndo yuleyule.....
mmh!
 
Kuna jamaa nafikiri wako Marekani kama sijakosea!Mara kwa mara wananitumia matangazo yao kupitia e-mail address yangu kama ujumbe wao unavyojieleza hapa chini.
Hii huduma wanayotoa,binafsi sikubaliani nayo;sijui kuna mtu yeyote ambaye amekumbana na habari kama hii?Hebu wadau hapa ndani naomba mnisaidie,kwa level za elimu walizozitaja hapo kuna uwezekano kweli wakupata elimu hiyo kwa mfumo kama huo?

Get more money for less work

Now you are getting a 100% verifiable degree in just 4-5 weeks, with the help of your work experience.
You can get Bachelors, Masters or Doctorate degree in a few weeks time.

Give us a call now.
1 305 460 5721

Drop us your msg, with your full name and contact number so we can call you back.

Jiunge nao kwanza then angalia kama inalipa au la! Si wamekuhakikishia witin a week unapata pichidii yako... tatizo ninni!?
 
Kuna jamaa nafikiri wako Marekani kama sijakosea!Mara kwa mara wananitumia matangazo yao kupitia e-mail address yangu kama ujumbe wao unavyojieleza hapa chini.
Hii huduma wanayotoa,binafsi sikubaliani nayo;sijui kuna mtu yeyote ambaye amekumbana na habari kama hii?Hebu wadau hapa ndani naomba mnisaidie,kwa level za elimu walizozitaja hapo kuna uwezekano kweli wakupata elimu hiyo kwa mfumo kama huo?

Get more money for less work

Now you are getting a 100% verifiable degree in just 4-5 weeks, with the help of your work experience.
You can get Bachelors, Masters or Doctorate degree in a few weeks time.

Give us a call now.
1 305 460 5721

Drop us your msg, with your full name and contact number so we can call you back.

Jiandikishe upate digrii yako. Unaweza kuukwaa uwaziri au uwaziri mdogo kwenye serikali ya JK
 
Kuna siku nilikuwa naongea na kigogo fulani wa serikali yetu, nikamuuliza inakuwaje baadhi ya viongozi wetu haswa mawaziri na baadhi ya wabunge wana degree/PhD za miezi au mwaka? Akanijibu kwamba hiyo haina tatizo, maana hivyo vyuo vinavyotoa hizo degree na Phd ni kwa ajili ya wanasiasa, na wanasiasa wanakwenda kwenye hivyo vyuo vya muda mfupi ili wapate sifa za udokta. Maana ukiwa mwanasiasa ni muhimu kuwa na cheo cha udokta, hivyo hata serikali inalitambua hilo.
Alivyonijibu hivyo nikachoka kweli kweli, kumbe serikali inatambua ndio maana watu hata wakipiga kelele kwamba fulani ana degree feki au PhD feki wapo kimyaa tu.Kumbe wenzetu wanasoma ili wapate sifa za udokta na sio kupata elimu bora ya kuelimika. Ndio maana uozo hauishi kwenye hii serikali ya hapa nchini kwetu.
 
Yote haya hayasaidiii labda tubadilishe tactics i.e. tuanze kuwavamia tunaojua kweli ni mafisadi na kuchoma mali zao. Ni wazo tu.
 
Viongozi wa sisiem wanapenda ufisadi sana mpaka kwenye elimu. Ndiyo maana hata waliopata PhD za online na honorary PhD wanazipapatikia na kuziweka mwanzoni mwa majina yao. Ukimuomba akuonyeshe "PhD Thesis" alioandika jibu litakuwa Sina!
 
Back
Top Bottom