Hapa bongo zinapatikana kwa shida kidogo hasa spare kubwakubwa ila vitu kama balbu zinapatikana ,nipm nitakupa contact za mtu anayeenda nairobi mara kwa mara kule zipo nyingi sana.
<br />
<br /> nauliza gari kweli sio mafumbo
<br />Hebu nenda Morogoro automobile, wapo kisutu wanaspare za magari karibia aina zote toka EUROPE. kama utakosa ni in box aina ya spare then nitakutumia toka Nairobi. Usihangaike sana mimi mwenyewe nilipata tabu kidogo na spare ila kwa sasa naenjoy na European Vehicle
<br />
<br /> thanx smart kuna gari moja kali aina ya peugeot206 nimeiona kwenye mtandao nimeipenda sana nataka niagize ndio nafanya risachi ya spea kwanza nisije nikachemsha
Jamani wadau nisaidieni kwa wale wanaojua mambo ya magari vizuri hivi gari aina ya peugeot spare zake zinapatikana kwa hapa nchini bila matatizo au ni matatizo kama za bmw na honda?
<br />................Kama hiyo 206 ni new model itakusumbua ila hizo za kizamani,504(guruwe) ziko spea nyingi hasa arusha,moshi,nairobi....!!kama yard yako inagari kadhaa,agiza maana hata ikileta shida na unatafuta spea atleast unatoka na vya zamani
Hizi Peugeot ni kwani bado zipo? Manake hata mtaani siku hizi sizioni.Jamani wadau nisaidieni kwa wale wanaojua mambo ya magari vizuri hivi gari aina ya peugeot spare zake zinapatikana kwa hapa nchini bila matatizo au ni matatizo kama za bmw na honda?