Nimemuulizia baadhi ya mabredren toka Jah Make Yah (Jamaica) wanadai jamaa aliuwawa kwa kisasi na Dennis "Leppo" Lobban baada ya kushindwa kutimiza ahadi ya kusaidia familia ya Lobban wakati alipotumikia kifungo kirefu gerezani. Inasemekana Leppo alikubali kwenda gerezani muda mrefu kumsaidia Tosh a.k.a Bush Doctor/Mystic Man/ The Toughest aepuke gereza kutokana sababu alikuwa ana kesi ambayo angehukumiwa Tosh angesota gerezani muda mrefu na ingelikuwa mwisho wa career yake ya music, sasa alitakiwa aisidie familia wakati bredren leppo alipokuwa jela kitu ambacho Tosh hakutimiza .