Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Mnawakumbuka hawa magwiji?
wanalainisha sauti
wanafalsafa ya moja kwa moja toka mungu sio ya kuchakachua.kama bangi inaleta uchizi hawa wangekuwa machizi kuliko wote.rip
sasa hao na mugabe nani ana akili we mtu hata kutembea,kuongea huwezi halafu unataka uongoze nchi wakati we mwenyewe hujimudu shame on him.Honourable Mugabe thinks otherwise. Read Jamaicans angry at Robert Mugabe pot smokers comment. BBC news
afu ndio huyo huyo Mugabe aliyemualika Bob Marley (mvutaji bangi mkuu) kwenye tamasha la uhuru wa Zimbabwe mnamo mwaka 1980.sasa hao na mugabe nani ana akili we mtu hata kutembea,kuongea huwezi halafu unataka uongoze nchi wakati we mwenyewe hujimudu shame on him.
sasa hao na mugabe nani ana akili we mtu hata kutembea,kuongea huwezi halafu unataka uongoze nchi wakati we mwenyewe hujimudu shame on him.
wanasiasa ni mhimili wa uzandiki humu duniani hawapaswi kuwaamini hata kidogo,tabia zao tu ni za kiendawazimu,nyerere mwenyewe na ujanja wake alimuona chizi baadae yeye mwenyewe akagundua bob is most genious than him .afu ndio huyo huyo Mugabe aliyemualika Bob Marley (mvutaji bangi mkuu) kwenye tamasha la uhuru wa Zimbabwe mnamo mwaka 1980.
Gregory Isaac Cool ruler!! nyimbo zake nazipenda sana hasa night nurse tulikuwa na kanda yake home nikiwa Iringa my bro aliinunua hiyo ni 1991, wakati ule kanda zinarekodiwa na local studios. Pale iringa kulikuwa na Studio FM5 km sijasahau na Wamahanji hahha ilikuwa balaa collection zao zilikuwa kali. Peter tosh sijawahi kuwa mshabiki wake so sizijui saaaaaaaaana nyimbo zake! Ila Bob Mlay ooops Bob marley zoote zipo kichwani sema nianze!! from Judge Not to Confrotation! RASTA LIVE!!!!!!
Pata uhondo hapa mkuu!Mtani kuna mmoja aliupiga sijui ni huyu Gregory au mwingine nadhani unaitwa Substitute...
Them crazy,them crazy we gonna chase the crazy bald heads out of town. Qoute Bob Marley.
Pata uhondo hapa mkuu!
Mtani kuna mmoja aliupiga sijui ni huyu Gregory au mwingine nadhani unaitwa Substitute naomba unikumbushe ninautafuta kweli,moja ya mistari yake anasema since you told me to leave ando you wont come back na anaendelea kidogo nimesahau hapo kati kisha anasema Now you are drinking liquid which you didnt do,Ill be around so you wont get down,substitute gonna make/let you down,naukumbuka baadhi ya maneno tu na kama umenipata naomba unipe jina la muimbaji na ninavyoweza kuupata youtube..
Mkuu pamoja sana! Unaitwa "Substitute Lover" wa Gregory Isaacs, jinsi ya kuupata Youtube, cjui. Binafsi niliupata Waptrick, na kamchina kangu... Audio, vedeo to Lyrics!
"Suzan told me to live sayin' she's a woman who's cute...
All in a sudden she said ama' she found a substitute...
Am jus' letin' know I'l be still around...I will be ur bridge over troubled water...So u won't get drown...substite gonna put u down...
Ohoo ohoo ohoooo! Ahaa ahaa haaaa!
I heard u're smoking cigarrete by the pack...
Since u told me to leave an' don' come back...
It is not my fault, u're the one who said we are through...now u are drinkin' liqo which u didn't do...but I will be around, so u won' get drown, substitute gonna put u down...
Ohoo ohoo ohooooo!
Ahaa ahaa ahaaaaaa!
Whenever time u're in trouble...just call ma'name and I'll be on the double...an' u won't get drown, substitute gonna put u down... I will be around, so u won' get drown...... I will be around...u won't get drown"
Pia ana Hard Drugs, strange in the Nighty, Sad to Know,
Ni mkali kwangu kwa Sweet Reggae!
Ila ombi, kama kuna mwenye Lyrics za Boderation by Bunny Wailer, msaada plz...
Raggae ni zaidi ya Muziki!
Mungu wetu anaita!