John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
huyu hapa anafunguka facebook
""Niliharibikiwa na gari maeneo ya kutokea ikulu mda
sio mrefu,nikavamiwa na vibaka Saba Mimi pamoja
na Dereva wangu ambaye alikuwa anafungua tairi
nimepigwa vizuri ,na nimenyang'wa simu zote na
pesa pamoja na waleti ,hii Ndio bongo , ....watu
wengi nitakuwa nimepoteza namba zenu""
.. (ni ikulu ya magogoni)
My take.: askari wapo bussy na Sheikh ponda na Faridi?? Its a big joke
""Niliharibikiwa na gari maeneo ya kutokea ikulu mda
sio mrefu,nikavamiwa na vibaka Saba Mimi pamoja
na Dereva wangu ambaye alikuwa anafungua tairi
nimepigwa vizuri ,na nimenyang'wa simu zote na
pesa pamoja na waleti ,hii Ndio bongo , ....watu
wengi nitakuwa nimepoteza namba zenu""
.. (ni ikulu ya magogoni)
My take.: askari wapo bussy na Sheikh ponda na Faridi?? Its a big joke