Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Imekuwa kama kasumba siku hizi, wadada na wamama wengi walio katika ndoa huwa hawapendi kuvaa pete za ndoa zao. Hii hata kwa wakaka na wababa pete za ndoa zimekuwa kama ni sumu kwao pia. Ajabu wadada wasiokuwa na ndoa utawaona wametinga pete tena kwenye kile kidole cha kuvaliwa pete ya ndoa. Hivi pete zinaficha nini? Kuvaa ama kutokuvaa kunabadili heshima ya mtu?