Pete za Ndoa

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,286
4,493
Imekuwa kama kasumba siku hizi, wadada na wamama wengi walio katika ndoa huwa hawapendi kuvaa pete za ndoa zao. Hii hata kwa wakaka na wababa pete za ndoa zimekuwa kama ni sumu kwao pia. Ajabu wadada wasiokuwa na ndoa utawaona wametinga pete tena kwenye kile kidole cha kuvaliwa pete ya ndoa. Hivi pete zinaficha nini? Kuvaa ama kutokuvaa kunabadili heshima ya mtu?
 
kwa yoyote alieoa na kuolewa na avae icho kitambulisho alichokikubali mwenyewe cku anajiingiza kwenye cub ya ndoa bila kulazimishwa na yoyote, lakini ndio hivyo tena kia mtu anazichukulia ki vyake, kwangu mie cjawahi kuivua mwaka wa 6 sasa.
 
kwa yoyote alieoa na kuolewa na avae icho kitambulisho alichokikubali mwenyewe cku anajiingiza kwenye cub ya ndoa bila kulazimishwa na yoyote, lakini ndio hivyo tena kia mtu anazichukulia ki vyake, kwangu mie cjawahi kuivaa mwaka wa 6 sasa.

Hapo sasa hebu niambie sababu ni nini haswa? Nina hakika bado unayo hiyo pete
 
kwa yoyote alieoa na kuolewa na avae icho kitambulisho alichokikubali mwenyewe cku anajiingiza kwenye cub ya ndoa bila kulazimishwa na yoyote, lakini ndio hivyo tena kia mtu anazichukulia ki vyake, kwangu mie cjawahi kuivaa mwaka wa 6 sasa.
Ungekuwa mke wangu ungesha kamata talaka zako tatu
 
Hapo sasa hebu niambie sababu ni nini haswa? Nina hakika bado unayo hiyo pete

bado ninayo, ndio kitambulisho changu nilichoapa nacho altareni, na wewe ulishawahi kuivua? pale unapotokea dogodogo.
 
Kuna jamaa angu ana Guest House anasema siku za week end watu wanasahau sana pete za ndoa mjengoni.
Watumiaji wa hii kitu jamani tunaomba ufafanuzi ukivua ndo tuseme unakuwa humsaliti mwenzio?
 
bado ninayo, ndio kitambulisho changu nilichoapa nacho altareni, na wewe ulishawahi kuivua? pale unapotokea dogodogo.

Sijawahi kuwa na pete my dear! huenda mwakani nitavaa, ishallah. ila mara nyingi mechi za mchangani na wajasilia mali wenye ndoa zao mara nyingi huwa hawana pete zao!
 
Sijawahi kuwa na pete my dear! huenda mwakani nitavaa, ishallah. ila mara nyingi mechi za mchangani na wajasilia mali wenye ndoa zao mara nyingi huwa hawana pete zao!

utakapokuwa nayo ucivue hata cku 1 plz, hao dogodogo wakupende jinc ulivyo, wajue kabisa una mwenyewe.
 
Na wale dada zetu ambao kwa uhakika hawako kwenye ndoa wana vaa za nini? Mbona wakaka wasio na ndoa hawana time na hizo pete?
 
unavuaga pete? na kwanini.
Tangu nivishwe hiyo kitu sijawahi kuivua. Kinachotokea napoenda kwenye mechi za mchangani huwa naitoa mkono wa kushoto na kuhamishia kulia. Vinginevyo mtarimbo unalala doro. Nadhani nimeathirika kisaikolojia au rozari anayopiga mama matesha si mchezo............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom