Pete ya uchumba!

Great thinkers naombeni uzoefu wenu kwenye hili...Kama uchumba ukivunjika pete inarudishwa au anabaki nayo binti?Kama inatakiwa kurudishwa je ni lazima ama?

Kwani pete ua uchumba nani anaye nunua?

Aliyenunua hana budi kurudishwa maana ni mali yake atamvisha mwingine.

Kwangu mm unarudisha mbona hata kwa mapanga au nakupeleka polisi kabisa

Kitu umezama kwa sonara gram kadhaa ww unataka ubane aa wapi
 
Kwani pete ua uchumba nani anaye nunua?

Aliyenunua hana budi kurudishwa maana ni mali yake atamvisha mwingine.

Kwangu mm unarudisha mbona hata kwa mapanga au nakupeleka polisi kabisa

Kitu umezama kwa sonara gram kadhaa ww unataka ubane aa wapi
Dah we unatisha...mpaka kupelekana polisi??Anga zako hapiti mtu!
 
Sasa ndio nini kuweka mambo hadharani hivi mchungaji!?? BAK hongereni kwa ushindi!Mchungaji kachoka kwa kichapo!

Nimemkatisha tamaa BAK! Chemba ni mchungaji tu mwenye previlledge teh teh teh teh Chelsea will bounce back strongly
 
Nimemkatisha tamaa BAK! Chemba ni mchungaji tu mwenye previlledge teh teh teh teh Chelsea will bounce back strongly

Jamani BAK si anakuangalizia kwa mbali ukiwa haupo?Angalia asije akakataa kukuangalizia kondoo aibiwe!
 
Jamani BAK si anakuangalizia kwa mbali ukiwa haupo?Angalia asije akakataa kukuangalizia kondoo aibiwe!

Ahsante sana Lizzy. Rev umeyasikia hayo!? usiwe na hofu na mimi yakhe!!!!

 
Jamani BAK si anakuangalizia kwa mbali ukiwa haupo?Angalia asije akakataa kukuangalizia kondoo aibiwe!

Huyu BAK huenda naye anapenda nyama bata! Huwezi mpa chui kulinda banda la mbuzi hahahahaah
 
Yakhe hakuna mwizi mvivu!

Hahahahahahah mie si mwizi Dr, acha kunihofia. Kila la heri na mafanikio na mwanakondoo wako ila nakuomba uondoe wasiwasi ili ufaidi penzi lenu, vinginevyo utaliharibu.
 
yeah!!! you are wright....
Kwa maoni yangu kama aliyevunja uchumba ni Mwanamke bila sababu yoyote ya muhimu labda kutokana na vitendo vya mwanaume basi hana budi kuirudisha pete ile ya uchumba lakini kama ni Mwanaume ndiye aliyevunja uchumba bila sababu yoyote ya muhimu iliyosababishwa na vitendo/tabia ya/vya mchumba wake basi hakuna haja ya kuirudisha pete hiyo.
 
Hahahahahahah mie si mwizi Dr, acha kunihofia. Kila la heri na mafanikio na mwanakondoo wako ila nakuomba uondoe wasiwasi ili ufaidi penzi lenu, vinginevyo utaliharibu.
Hahahahaha!Mchungaji ana wasiwasi maana kashashuhudia kondoo kibao wanaibiwa!
 
Back
Top Bottom