Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Hahahahahahahahahaa miye sitii neno LOL!
I'll Be Lovin' U Long Time - Mariah Carey ft. T.I. | Music Video | VEVO
Yeah we have missed the plot! Makosa ya kijinga sana
Hahahahahahahahahaa miye sitii neno LOL!
I'll Be Lovin' U Long Time - Mariah Carey ft. T.I. | Music Video | VEVO
Great thinkers naombeni uzoefu wenu kwenye hili...Kama uchumba ukivunjika pete inarudishwa au anabaki nayo binti?Kama inatakiwa kurudishwa je ni lazima ama?
Mmhhh nilikuwa chemba na Lizzy!
hivi mpwa chat rumu imesha kupeperushia wa ngapi walio kuwa kwenye mstari maana duh
Nina mpangowa Kuban MODS na Invisible juu wameharibu sana
Dah we unatisha...mpaka kupelekana polisi??Anga zako hapiti mtu!Kwani pete ua uchumba nani anaye nunua?
Aliyenunua hana budi kurudishwa maana ni mali yake atamvisha mwingine.
Kwangu mm unarudisha mbona hata kwa mapanga au nakupeleka polisi kabisa
Kitu umezama kwa sonara gram kadhaa ww unataka ubane aa wapi
Dah we unatisha...mpaka kupelekana polisi??Anga zako hapiti mtu!
hahahahahahahaha Lizzy umenivunja mbavu sana LOL! Si anadai mali zake jamani! LOL!
Like A Boy - Ciara | Music Video | VEVO
Sasa ndio nini kuweka mambo hadharani hivi mchungaji!?? BAK hongereni kwa ushindi!Mchungaji kachoka kwa kichapo!
Hahahaha...yani mshkaji kaniogopesha kweli!Ngoja nibaki na mchungaji wangu!
Sasa ndio nini kuweka mambo hadharani hivi mchungaji!?? BAK hongereni kwa ushindi!Mchungaji kachoka kwa kichapo!
Jamani BAK si anakuangalizia kwa mbali ukiwa haupo?Angalia asije akakataa kukuangalizia kondoo aibiwe!
Jamani BAK si anakuangalizia kwa mbali ukiwa haupo?Angalia asije akakataa kukuangalizia kondoo aibiwe!
Ahsante sana Lizzy. Rev umeyasikia hayo!? usiwe na hofu na mimi yakhe!!!!
Yakhe hakuna mwizi mvivu!
Kwa maoni yangu kama aliyevunja uchumba ni Mwanamke bila sababu yoyote ya muhimu labda kutokana na vitendo vya mwanaume basi hana budi kuirudisha pete ile ya uchumba lakini kama ni Mwanaume ndiye aliyevunja uchumba bila sababu yoyote ya muhimu iliyosababishwa na vitendo/tabia ya/vya mchumba wake basi hakuna haja ya kuirudisha pete hiyo.
Hahahahaha!Mchungaji ana wasiwasi maana kashashuhudia kondoo kibao wanaibiwa!Hahahahahahah mie si mwizi Dr, acha kunihofia. Kila la heri na mafanikio na mwanakondoo wako ila nakuomba uondoe wasiwasi ili ufaidi penzi lenu, vinginevyo utaliharibu.