Great thinkers naombeni uzoefu wenu kwenye hili...Kama uchumba ukivunjika pete inarudishwa au anabaki nayo binti?Kama inatakiwa kurudishwa je ni lazima ama?
Kwa maoni yangu kama aliyevunja uchumba ni Mwanamke bila sababu yoyote ya muhimu labda kutokana na vitendo vya mwanaume basi hana budi kuirudisha pete ile ya uchumba lakini kama ni Mwanaume ndiye aliyevunja uchumba bila sababu yoyote ya muhimu iliyosababishwa na vitendo/tabia ya/vya mchumba wake basi hakuna haja ya kuirudisha pete hiyo.
Best unataka nirudishia Pete nlokuvisha! Your name is engraved on it! Mmmhhh kaa nayo tu usiivae tu
Nirudishe wapi mchungaji!?BAK kanipa ujanja...ntakutegea ulikoroge wewe...alafu naipiga bei!
Nirudishe wapi mchungaji!?BAK kanipa ujanja...ntakutegea ulikoroge wewe...alafu naipiga bei!
Hahahahahaha sasa mtakuwa mnategeana nani alikoroge! mmoja akitaka abaki na pete kama kifuta machozi na mwingine hataki pete yake ivaliwe. Kazi kwenu mtajiju....lakini mkitaka niwapatanishe basi mnakaribishwa sana.
mkuu usitamani ka mwanakondoo ka mchungaji!
Basi na mimi nichore ili tuogope kuachana!
Mtego huo hahahah! Kwa kazi yangu ya uchungaji tattoos haziruhusiwi! Niambie kitu kingine! Ningeshauri tupate Masa Juniour ili kuachana kusiwe ni option. Kwa dawa za kichina twins will be okay haha hah
Hahaha we BAK bwana...anataka kumvuta mwanakondoo karibu zaidi ili asipotee!Alafu we unataka kuimba tu?Mbona kadi ya mchango hujaulizia!? BTW asante kwa kibao..ngoja mchungaji arudi tusikilize!
Hahaha!Nani ataona sasa??Mapacha kabisa?Haya ngoja nifikirie nakuja na jibu sasa hivi!