Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
Mkuu kwani umekuwa bubu mpaka ukose maneno ya kumwambia mpenzi wako au mchumba wako mtarajiwa
hayana formula ni wewe tuu na mapenzi yako na unavyompanda mwenzako
Mambo mengine yanakuja yenyewe bana hayahitaji utumie nguvu kubwa kama unasukuma gari
tehetehetehe bado hujamjibu