Pete ya Ndoa na kidole maalum

Zinavunjika kama zinavyofungwa pamoja na white gold rings!

Nafikiri kwa maisha ya sasa, pete ya ndoa husaidia kusema kwa nguvu kuwa "I am not available" basi, ingawa bado kutangaza huko hakumfanyi mtu kuwa unavailable if s/he want to be 'available'.

Mwisho wa siku twaweza sema ni utamaduni tu na ibada/ritual kwa baadhi ya madhehebu!

Ni utamaduni wa kigeni ambao ni katika kuongeza gharama za kufunga ndoa tu kwa baadhi ya watu
 
I wish ningeweza demostrate kwa video, ila ngoja nijaribu!

Unganisha palms zako, vidole viendane, yaani kidole cha kati cha kushoto kigusane na cha kulia cha kati!

Vikunje vidole vya kati peke yake!

Vikiwa hivyo hivyo vimekunjwa, Jaribu kuachanisha vidole vidogo, utaweza, gumba (piece of cake), vya kupointia pia utaweza lkn huwezi achanisha vidole vya pete kama vidole vya kati vikiwa vimekunjwa. Hiyo inasymbolize kuwa marriage hazipaswi kutenganishwa na kama vile kidole cha pete usivyoweza tenganisha na kidole cha mkono wa kulia.

Source: padre mmoja wakati wa mahubiri ya ndoa!

Rings are placed on the fourth finger on the left
hand, because Ancient Egyptians believed that
it contained a vein that lead to the heart ( vena
amoris).

Source wikipedia search for engagement ring
fingure....
 
Kwanin tukunje vidole vyakati, jibu kwanza hili.

Nilitaka kuuliza the same question aisee..
Manake hapo ndipo penye logic..otherwise ni mchezo tu wa kuigiza tu..
Sina pete na ndoa yangu ninayo na inadumu..
 
So far l have heard 3 ring histories! I guess l will have to choose one to believe just like u have chose the one you want!

Niliyokuambia ni zaidi ya hadith,is a fact,why you think believing is important?Instead of believing u have to know,kuamini ni kuamini bila ushahidi,yaani blindly so kuamini sio ishu unatakiwa ujue,kujua ni mpaka uwe na ushahidi,je unao?Mi ninao!
 
Ngoja niwaambie hii ambayo hamtaipenda:Wakati wa utawala wa Babeli,kulikua na imani ya kipagani,walikua wanaabudu sayari pamoja na nyota,hivyo walikua na miungu wengi,walikua 36,mungu mkuu alikua jua na alikua ana siku yake maalum ya kuabudiwa.Lakini pia miungu hii ilikua na alama tofauti ya kumuwakilisha kila mungu.Mungu jua ambae ndie alikua mkuu aliwakilishwa na alama ya circle,hivyo waumini hao walikua wanaivaa kidoleni kuonesha imani yao.Pete ilikua inavaliwa tangu nyakati hizo na ziliingizwa kwenye masuala ya ndoa na ibada ikipewa tafsiri kivuli lakini hiyo ni ishara ya imani kwa mungu jua.Hivyo ni upagani!

like nimekupa kwasababu umejiahami mapema sana.

sasa ngoja nikuulize hivi wale watawa wanaoveshwa pete je nao ni wapagani kwa theory yako?
 
Zinavunjika kama zinavyofungwa pamoja na white gold rings!Nafikiri kwa maisha ya sasa, pete ya ndoa husaidia kusema kwa nguvu kuwa "I am not available" basi, ingawa bado kutangaza huko hakumfanyi mtu kuwa unavailable if s/he want to be 'available'.Mwisho wa siku twaweza sema ni utamaduni tu na ibada/ritual kwa baadhi ya madhehebu!
pamoia na maelezo na utetezi wa hii kitu binasi sioni weledi wa kuchagua mkono na kidole. tunaaminishwa NDOA NI BARAKA YA MUNGU ALOKIFUNGA MUNGU HAKUNA WA KUKITENGANISHA. Nakubaliana mia kwa mia juu ya hoja hiyo.kinachonitanza ni KWANINI IWE MKONO WA KUSHOTO UPEWE HADHI HIYO???KWANI KAZI ZIFANYWAZO NA SHOTO HAMZIJUI HUSUSANI CHOONI?????
 
pamoia na maelezo na utetezi wa hii kitu binasi sioni weledi wa kuchagua mkono na kidole. tunaaminishwa NDOA NI BARAKA YA MUNGU ALOKIFUNGA MUNGU HAKUNA WA KUKITENGANISHA. Nakubaliana mia kwa mia juu ya hoja hiyo.kinachonitanza ni KWANINI IWE MKONO WA KUSHOTO UPEWE HADHI HIYO???KWANI KAZI ZIFANYWAZO NA SHOTO HAMZIJUI HUSUSANI CHOONI?????

Mikono ya kushoto ya walio wengi haina nguvu sana na haifanyi kazi sana; hivyo ni salama kwa pete ikivaliwa mkono wa kushoto kuliko wa kulia. Mawazo yangu lakini!
 
Ndoa na zidumu. Wazazi, ndugu na watoto ni sehemu tu ya ndoa!!! Je wengii tunalijua hili? Kama tunajijua mashemeji, mawifi na wazazi mnatoka wapi kungilia nyumba za watu!!??
 
Nimejifunza kitu hapa.

Ila kuna watu wa nchi za magharibi nimeshakutana nao wanavaa mkono wa kulia. Nilitamani kuwauliza lakini hawakuwa wa level yangu...tulikuwa na power distance. Ila nilikuwa najua wako kwenye ndoa...ila sijuhi kwa nini mkono wa kulia.

Ngoja nijaribu ku google. Lol.

Yani google ametusaidia ...majibu yote karibia yapo google.
 
Okay nimeshapata jibu (google. Lol.)

Kuna baadhi ya nchi wanavaa pete mkono wa kulia (kama Germany na nyingine) , na wengine mkono wa kushoto (kama UK na nyingine). Hivyo ntaacha kuwashangaa wanaovaa right hand.
 
Back
Top Bottom