Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
- Thread starter
- #61
Hah hapo ameondoka nyumbani kanuniwa....hahah maisha ya ndoa mwe acheni tu!
Mie nilikuwa nikitoka nje ya nyumba bila nayo yaani nakosa amani sasa najiuliza kwa nini nakosa amani sipati jibu!! maana kama kusahau si nimesahau na hakuna kitu kibaya unafanya........mwe vifungo vingine ni kujipa jakamoyo tu!
Hapo kwenye Blue.............Naomba nitume application LOL.
Waiting na kikombe changu cha kahawa naangalia Coming to America LOL
LOL...mwj1 huna hata haja ya kutuma application...nakukabidhi wizara zote na umakamu wa raisi.
Pete haikuchubui weye?...Mie nakusudia pete ijayo niimezee na maji ikajivishe moyoni.