aisee kuna wakati unakutana na mtu, ghafla mwili wote unaishiwa nguvu na woga juuuuuuuuuu! wala huwezi kusema eti kule lindi walimsingizia. sura yenyewe inajieleza kinagaubaga!
ganjaa farmer call m ganjaa blanter...yani hao ni ndumuu people,ilaa wanatia aibu wachafuuuu....sidhani kama nikio cha jamiii.wanaimba vizurii ila kwa nguvu ya cha arushaaaa wanakuwa na isia kaliiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.