Pesa za kuongeza posho za wabunge fasta ila madaktari tukae tujadili kwanza its time for arab sprin

Livanga

JF-Expert Member
Apr 15, 2010
469
148
Kwa kweli its about time now we need arab spring, Kama walivyoainisha waliochangia mkutano kule davos nafikiri ni kweli kabisa sasa tanzaniania tunaitaji maandamano kama ya arabuni ya kumtoa kikwete na wenzake(Arab spring) kwani ujinga na ufujaji wa pesa za walipa kodi unaonekana wazi. Mambo muhimu hayapewi kipaombele bali yale yenye maslahi kwao ndio yanayopewa kipaombele. Au kwasababu wao wakiumwa wanakimbizwa india? kwa kweli inauma sana.
 
Seconded mkuu. Kuendelea na kikwete ni sawa na kuwa na jipu kuubwa kwapani, linakuumiza halafu unasita kuliminya. Kikwete ni jipuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu. Tuliminye litoke. Pa kuanzia ni mzozo wa Madaktari, upenyo tumeshaupata, tunasubiri nini?
 
Kwa kuiangalia kwa juu juu hoja yako inaweza kuonekana ina uzito. Hata hivyo yafaa kujiuliza huko ilikoanzia Arab spring hali ikoje hivi sasa? Wana serikali nafuuu zaidi kuliko walizoziondoa? Kama unafuatilia hali ilivyo Egypt utakuwa umeona kwamba hawana cha kusherehekea bali majuto. Baada ya kumuondoa na kumdhalilisha Hosni Mubarak sasa wameligeukia jeshi. Hali imekuwa kinyume na matarajio ya waliokuwa wakikesha pale kwenye uwanja (tahrir square). Vivyo hivyo hali ya Libya. Hata jumuiya ya kimataifa iliyosaidia kumwondoa Gadaffi sasa wameduwaa. Hali haina nafuuu yoyote. Ni kama wale "wakombozi" wanasema its our time to eat. Na siku zote the cake will not be enough for everybody. Now its for the mighty to eat. Ujumbe wangu hapa ni kwamba whatever the decision, one needs to think twice. Yafaa kufikiria hiyo Arab Spring itazaa nini na kwa manufaa ya nani. Je, hayo mazingira kwa ajili ya manufaa yanayotarajiwa, yapo? I submit.
 
Kwa kuiangalia kwa juu juu hoja yako inaweza kuonekana ina uzito. Hata hivyo yafaa kujiuliza huko ilikoanzia Arab spring hali ikoje hivi sasa? Wana serikali nafuuu zaidi kuliko walizoziondoa? Kama unafuatilia hali ilivyo Egypt utakuwa umeona kwamba hawana cha kusherehekea bali majuto. Baada ya kumuondoa na kumdhalilisha Hosni Mubarak sasa wameligeukia jeshi. Hali imekuwa kinyume na matarajio ya waliokuwa wakikesha pale kwenye uwanja (tahrir square). Vivyo hivyo hali ya Libya. Hata jumuiya ya kimataifa iliyosaidia kumwondoa Gadaffi sasa wameduwaa. Hali haina nafuuu yoyote. Ni kama wale "wakombozi" wanasema its our time to eat. Na siku zote the cake will not be enough for everybody. Now its for the mighty to eat. Ujumbe wangu hapa ni kwamba whatever the decision, one needs to think twice. Yafaa kufikiria hiyo Arab Spring itazaa nini na kwa manufaa ya nani. Je, hayo mazingira kwa ajili ya manufaa yanayotarajiwa, yapo? I submit.

Mbona Tunisia huisemi, mambo mswano kule
 
Seconded mkuu. Kuendelea na kikwete ni sawa na kuwa na jipu kuubwa kwapani, linakuumiza halafu unasita kuliminya. Kikwete ni jipuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu. Tuliminye litoke. Pa kuanzia ni mzozo wa Madaktari, upenyo tumeshaupata, tunasubiri nini?
Sio kwapani mkuu hapo haliumi sana na unaweza ukalala, jipu la kwenye masaburi
 
Kwa kuiangalia kwa juu juu hoja yako inaweza kuonekana ina uzito. Hata hivyo yafaa kujiuliza huko ilikoanzia Arab spring hali ikoje hivi sasa? Wana serikali nafuuu zaidi kuliko walizoziondoa? Kama unafuatilia hali ilivyo Egypt utakuwa umeona kwamba hawana cha kusherehekea bali majuto. Baada ya kumuondoa na kumdhalilisha Hosni Mubarak sasa wameligeukia jeshi. Hali imekuwa kinyume na matarajio ya waliokuwa wakikesha pale kwenye uwanja (tahrir square). Vivyo hivyo hali ya Libya. Hata jumuiya ya kimataifa iliyosaidia kumwondoa Gadaffi sasa wameduwaa. Hali haina nafuuu yoyote. Ni kama wale "wakombozi" wanasema its our time to eat. Na siku zote the cake will not be enough for everybody. Now its for the mighty to eat. Ujumbe wangu hapa ni kwamba whatever the decision, one needs to think twice. Yafaa kufikiria hiyo Arab Spring itazaa nini na kwa manufaa ya nani. Je, hayo mazingira kwa ajili ya manufaa yanayotarajiwa, yapo? I submit.
Pendekeza nini kifanyike sio kutoa mlolongo wa maneno na historia. Kama wewe sio mmoja wao hali halisi ya watanzania unaiona, je ni mungu kapenda iwe hivyo au ni viongozi wetu
 
Back
Top Bottom