Livanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2010
- 469
- 148
Kwa kweli its about time now we need arab spring, Kama walivyoainisha waliochangia mkutano kule davos nafikiri ni kweli kabisa sasa tanzaniania tunaitaji maandamano kama ya arabuni ya kumtoa kikwete na wenzake(Arab spring) kwani ujinga na ufujaji wa pesa za walipa kodi unaonekana wazi. Mambo muhimu hayapewi kipaombele bali yale yenye maslahi kwao ndio yanayopewa kipaombele. Au kwasababu wao wakiumwa wanakimbizwa india? kwa kweli inauma sana.