Pesa ya Uswis inachanganya akili; vitisho vilivyoanza vitafanikiwa kufifisha?

Haya mabilioni yanaweza kuwa kama ya EPA, tukaambiwa yamerudishwa nchini tusiambiwe hata yamefunguliwa account katika bank ipi na kisha wahusika kutotajwa kama kawaida ya magamba kukingiana vifua ili kuficha dhambi zao. Inabidi tuishinikize ile bank iyaanike majina ya wahusika hadharani na kiasi cha pesa katika kila bank account.
 
Na ndiyo janja yao ya kuweka pesa mapema ili waje wawavalishe watanzania khanga na kofia, huku wakionekana wanakubalika kumbe wizi mtupu. Hawa ni kuwapiga risasi tu tena mbele ya TV.

Kila kona wanafichuliwa, ndo miti aliyozoea nyati kuruka kila siku inavyozidi kuteleza.
 
Haya mabilioni yanaweza kuwa kama ya EPA, tukaambiwa yamerudishwa nchini tusiambiwe hata yamefunguliwa account katika bank ipi na kisha wahusika kutotajwa kama kawaida ya magamba kukingiana vifua ili kuficha dhambi zao. Inabidi tuishinikize ile bank iyaanike majina ya wahusika hadharani na kiasi cha pesa katika kila bank account.
Ni mawazo mazuri, lakini swali ni namna gani tutaweza kuyashinikiza magamba yasiweze kutunyamazisha?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni mawazo mazuri, lakini swali ni namna gani tutaweza kuyashinikiza magamba yasiweze kutunyamazisha?

Sasa hivi ni kusubiri tu hadi 2015 na kuhakikisha katika uchaguzi huu ujao Wananchi katika kila jimbo wanasimama imara kulinda kura zao ili kuondoa uwezekano wa magamba kuchakachua matokeo ya uchaguzi. Nasema Wananchi kwa sababu Polisi wameshapoteza imani yao miongoni mwa wananchi walio wengi, sasa hivi wamekuwa kama kitengo kingine cha magamba.

Sasa kinachoweza kufuata magamba wakishindwa wanaweza kudai "Hatuwezi kukabidhi nchi kwa wahuni wa CHADEMA" hapo ndipo nchi itaweza kuingia kwenye umwagaji wa damu wa kutisha (Mungu apishilie mbali) maana Wananchi hawatakubali matokeo ya uchaguzi kutoheshimiwa na magamba watatumia vyombo vya dola ili kuendelea kubaki madarakani.
 
hawa CCM ni watu choka kabisa kimawazo na ki-hoja. sasa hivi badala ya kuchangamkia mambo ya maana, wanachangamkia mambo kama vile ndoa ya Dr Slaa.

Ndiyo maana wako kwenye kile kinachoitwa 'free-fall'.
 
Wana jf,takribani mwezi mmoja umepita tangu tupewe taarifa ya kufichwa na wachache zaidi ya Tsh300bilioni huko n'gambo.JE serikali bado haiwajui walioficha au ndio kulindana?mwenye kujua undani zaidi tuweke wazi hapa jamvini.SERIKALI izichukue hizo pesa zitumike kwenye maendeleo ya nchi.Nawasilisha kwenu wakuu
 
kwenye nchi hii ya kusadikika sidhani kama kuna mtu atachukuliwa hatua .....
 
Back
Top Bottom