ninasomea akiolojia..archaeology. Wamenipa 43000 special facult..sasa naona bora tu niile, maana haitoshi.
Vipi sherehe ya kuwakata mkia nyie freshers itafanyika lini hapo UDSM??Ningependa kujua hiyo pesa inayotolewa kwenye pesa za mkopo inatumika wapi?
kwakweli bado sijajua. Vipi....huwa kuna sherehe hiyo? Inafanyika mwezi gani?
Lazima njuka wote mkatwe mkia ili mzoee mazingira.Party itafanyka siku sii nyingi, jiandae kukatwa mkia.kwakweli bado sijajua. Vipi....huwa kuna sherehe hiyo? Inafanyika mwezi gani?