Hii pesa ina balaa,ni tamu ajabu na huwa hairudishiki...wakati nasoma mambo ya kulipia bank yalikua bado hayajaanza. Ilikua shule zikifunguliwa tunakutana pale Moshi mjini maana wanafunzi wanaotoka Dar lazima walale town kesho yake ndo tunaenda kijijini shule.
Balaaa linakuja unaanza kuonyesha ufahari.... yaani pocket money inaisha kabla hujafika shule... then unaamia kwenye ada... kudadadeki ukifika shule unamsomesha basa ,unamwambia baba amesema ataleta.... siku zinaenda , mambo yanakua sio mambo pale asubui moja mko parade ghafla unaona basa anakuja na karatasi la majina ya wanaodaiwa, pembeni kuna mwalimu wa zamu na viranja wa mabweni. Yaani mliotajwa baada ya hapo mnasindikizwa kuchukua mabegi alafu home no discussion.
Alalfu mara nyingi demu uliyekula naye maisha na pesa ya ada yeye jina lake halitajwi,....... mara ya mwisho nakumbuka nilizingizia pochi imedondoka chooni......aisee.
Balaaa linakuja unaanza kuonyesha ufahari.... yaani pocket money inaisha kabla hujafika shule... then unaamia kwenye ada... kudadadeki ukifika shule unamsomesha basa ,unamwambia baba amesema ataleta.... siku zinaenda , mambo yanakua sio mambo pale asubui moja mko parade ghafla unaona basa anakuja na karatasi la majina ya wanaodaiwa, pembeni kuna mwalimu wa zamu na viranja wa mabweni. Yaani mliotajwa baada ya hapo mnasindikizwa kuchukua mabegi alafu home no discussion.
Alalfu mara nyingi demu uliyekula naye maisha na pesa ya ada yeye jina lake halitajwi,....... mara ya mwisho nakumbuka nilizingizia pochi imedondoka chooni......aisee.