Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Pesa wanazolipwa Wabunge ni rushwa wanayopewa na Serikali ili waburuzwe kwa hiari yao bila ya kupinga kitu. Ndio maana utaona Mbunge kasimama anaibwatukia Serikali lakini mwisho anamalizia kwa kusema, "Naunga mkono hoja mia kwa mia".
Ndio maana Mwaka jana, Wabunge wote pamoja na Wapinzani walimvamia Dr. Wilbroad Slaa, MP Karatu (CHADEMA), alipotoa hoja ya kuwa Mishahara ya Wabunge ipunguzwe waongezewe wafanyakazi. Hii ni State Corruption.
Penye njaa, demokrasi ina kazi kusimama na Serikali inajua hivyo na inaitumia hio hali to their advantage. Tanzania kama Nchi si maskini, watu wake ndio maskini. Hapa hapana demokrasi bali domokrasi na tumbokrasi tu.
Je Unajua kuwa kuna Nchi inayoitwa Somaliland .Hio haina Support ya Budget kutoka UNDP au IDB wala EEC lakini GNP yake ni kubwa kuliko sisi ,Howu comes ?
Ndio maana Mwaka jana, Wabunge wote pamoja na Wapinzani walimvamia Dr. Wilbroad Slaa, MP Karatu (CHADEMA), alipotoa hoja ya kuwa Mishahara ya Wabunge ipunguzwe waongezewe wafanyakazi. Hii ni State Corruption.
Penye njaa, demokrasi ina kazi kusimama na Serikali inajua hivyo na inaitumia hio hali to their advantage. Tanzania kama Nchi si maskini, watu wake ndio maskini. Hapa hapana demokrasi bali domokrasi na tumbokrasi tu.
Je Unajua kuwa kuna Nchi inayoitwa Somaliland .Hio haina Support ya Budget kutoka UNDP au IDB wala EEC lakini GNP yake ni kubwa kuliko sisi ,Howu comes ?