Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Nakuunga mikono na miguu ..
naomba na kichwa.
Nakuunga mikono na miguu ..
Kwa Mwanaume kama ana pesa lakini hana mpenzi ni sawa sawa na gari bila matairi. LITAKWENDA?
Sijataja kimojawapo maana ukiwa na kimoja bila kingine maisha hayawezi kukamilika. Vinategemeana..na anaeiendesha dunia ni yule mwenye uwezo wa kutoa/pata vyote.
Acha uoga ..huwezi ukatumikia mabwana wawili........chagua moja......................mimi nachagua kipendacho moyo tu.....maana hakuna wakuninyang'anya.........................kilicho nje ya moyo wangu wezi, na kutu waweza kuninyang'anya..........