CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
so in short pesa ndiyo inayoongoza na kuiendesha dunia!
lakini vitu vyote si vinaanzia kwenye nadharia kabla havijawa halisia? Hata nguo tunazovaa huanzia kwenye fikra za mbunifu kisha huchorwa na fundi mshoni huzikalia kitako kuzishona!!...Unless tuko kinadharia zaidi na sio kiuhalisia!!
Ukiiweka namna hiyo basi MAPENZI....kama ni pesa hata mimi naweza kutafuta!!
Kila kitu?!lakini vitu vyote si vinaanzia kwenye nadharia kabla havijawa halisia? Hata nguo tunazovaa huanzia kwenye fikra za mbunifu kisha huchorwa na fundi mshoni huzikalia kitako kuzishona!!
Pesa na penzi havina mahusiano yoyote!!!!!bali tumejifisha ulimbukeni na umbumbu kwamba pesa ndio kibali cha kupata mapenzi,wakati ALLAH anaiumba dunia na kuwaumba ADAM na HAWA hakuweka pesa kwenye bustan ya EDEN,bali aliweka vyakula pekee,SHETANI aliyelaaniwa kwa kukataa kum-sujudia ADAM ndiye aliyeleta mambo ya pesa,SASA kama unamfuata SHETANI basi penzi litakuendesha kwa pesa,bali kama unamfuata ALLAH pesa yako utaitumia ktk jihadi ya haki na siyo anasa!!!!!
Nadhani darasa limeeleweka inshaallah!
Kwakweli....
Ni mapenzi tu.
Pesa ni mbwembwe za duniani.
umeingiza dini hapa,.....mapenzi na dini pia haviendi pamoja.
Siwezi kuwasemea wengine ni kipi muhimu zaidi, lakini najua vitu ambavyo pesa inaweza/haiwezi kununua. Baadhi yao hivi hapa:
Pesa inaweza kununua NYUMBA lakini sio MASKANI/MAKAZI
Pesa inaweza kununua CHAKULA lakini sio HAMU YA KULA
Pesa inaweza kununua KITANDA lakini sio USINGIZI
Pesa inaweza kununua KITABU lakini sio MAARIFA
Pesa inaweza kununua SAA lakini sio WAKATI
Pesa inaweza kununua DAWA lakini sio AFYA
Pesa inaweza kununua CHEO lakini sio HESHIMA
Pesa inaweza kununua DAMU lakini sio MAISHA
Pesa inaweza kununua BIMA lakini sio USALAMA
Pesa inaweza kununua SILAHA lakini sio AMANI
Pesa inaweza kununua NGONO lakini sio MAPENZI
Pesa inaweza kununua MWANAMUME/MWANAMKE lakini sio MUME/MKE
...... ........... ..........
...... ........... ..........
...... ........... ..........
Mmmmh! Hapa kila mtu na msimamo wake, lakini kwa mtazamo wangu, ukitaka ngono, mwanamume/mwanamke, pesa yako itakufaa; lakini ukitaka mapenzi, mke/mume, utavipata kwa mapenzi tu na *virutubishi vyake.kwa hiyo mapenzi ni kubwa kuliko pesa?
Kirutubishi cha mapenzi ndiyo nini!!?Mmmmh! Hapa kila mtu na msimamo wake, lakini kwa mtazamo wangu, ukitaka ngono, mwanamume/mwanamke, pesa yako itakufaa; lakini ukitaka mapenzi, mke/mume, utavipata kwa mapenzi tu na *virutubishi vyake.
*Pesa sio kirutubishi cha mapenzi.
Money can buy people but not friends.Siwezi kuwasemea wengine ni kipi muhimu zaidi, lakini najua vitu ambavyo pesa inaweza/haiwezi kununua. Baadhi yao hivi hapa:
Pesa inaweza kununua NYUMBA lakini sio MASKANI/MAKAZI
Pesa inaweza kununua CHAKULA lakini sio HAMU YA KULA
Pesa inaweza kununua KITANDA lakini sio USINGIZI
Pesa inaweza kununua KITABU lakini sio MAARIFA
Pesa inaweza kununua SAA lakini sio WAKATI
Pesa inaweza kununua DAWA lakini sio AFYA
Pesa inaweza kununua CHEO lakini sio HESHIMA
Pesa inaweza kununua DAMU lakini sio MAISHA
Pesa inaweza kununua BIMA lakini sio USALAMA
Pesa inaweza kununua SILAHA lakini sio AMANI
Pesa inaweza kununua NGONO lakini sio MAPENZI
Pesa inaweza kununua MWANAMUME/MWANAMKE lakini sio MUME/MKE
...... ........... ..........
...... ........... ..........
...... ........... ..........
Money can buy people but not friends.
Education but not qualifications.
Woman but not love
Certificates but not education.
Money can buy almost ev.thing but not happiness
Pesa ndio mpango mzima wewe.