Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Kuna watu wanadai kama kusingekuwa na hali ya watu kupendana kusingekuwa na haja ya kutafuta PESA kwa nguvu hizi zinazotumika sasa. Wengine wanadai PESA ndizo zinazofanya watu wapendane au wachukiane, bila PESA hakuna PENZI au CHUKI. wewe unaonaje kati ya PESA na MAPENZI nini kinaindesha jamii ya dunia?