tujiepushe tu na vvu bwana hakuna cha dawa feki wala original ugonjwa ni ugonjwa tu ule ni nomasi sahihi kupoint finger to msd kama hujui nini hasa kiko nyuma ya pazia
title ingekua fair if msd was not there
tulizanatunakufa kwa mengi sana..................
tujiepushe tu na vvu bwana hakuna cha dawa feki wala original ugonjwa ni ugonjwa tu ule ni noma
kinga ni bora kuliko tibakweli
ugonjwa noma sana na ni bora tujikinge
ila cha maana ni kuwa wakweli kwenye taarifa pia
kinga ni bora kuliko tiba
tutulizane basi
tatizo ni MSD acha kupotosha,hakuna cha nyuma ya pazia wala nini.si sahihi kupoint finger to MSD kama hujui nini hasa kiko nyuma ya pazia
title ingekua fair if msd was not there
tatizo ni MSD acha kupotosha,hakuna cha nyuma ya pazia wala nini.
Hakuna siku unaweza kupata dawa ulizoagiza kwa ukamilifu.hawana dawa na wanakataa kutoa documemts zinazoonyesha hakuna dawa.mwisho wa siku hospitali zinashindwa kununua dawa hata kama kuna fedha za makusanyo.
UMEONGEA PUMBA MKUU
ISSUE NI COUNTERFEIT SIYO STOCK AVAILABILIT, ANGALIA PICHA UELEWE SOMO SIO KILA SWALI JIBU LAKE NI STOCK-OUT
FYI........ the whole saga started kwa BLANDINA NYONI NA MEMO YA KUNUNUA DAWA ZILIZOKUWEPO IN STORE
kuna kashfa ya relabelling na repackaging ambayoni very small propotion ya MSD decision makers may know it na siyo institution, kuna law enforcement people including "system" wanajua, na hata wahusika wa kiwanda wanajua
MSIROPOKE KWENYE KILA KITU; IF YOU DONT KNOW THE WHO SUPPLY SYSTEM FUNCTIONS AND PROCESSES LET ALONE STRUCTURES, YOU'D BE CARRIED TO THE POLITICS OF THING NA KUNUNULIWA NAO WAZEE WA UPATU WALIOFILISI WAKINAMAMA NA KUVUNJA NDOA ZA WATU KWA UTAPELI ABOUT 10 YEARS AGO
NYAMBAFFF
Ndio maana nilisema kuna mengi hamjuiMkuu wacha kutuongopea hapa, huyo Blandina Nyoni kaingiaje hapa, Kama dawa feki zipo MSD ni hao MSD ndio liable usitake kutuletea uongo ulio kubuhu
Kwa hiyo unataka kutuambia wale maofisa waliosimamisha walikuwa hawajui kitu ?
Kama walijua mbona hawakulipoti kama dawa zipo chini ya kiwango ?