William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Ukisikia mawazo UHARO ndiyo hayo!Kichwa kinachowaza hivyo naona kimejaa kamasi!
- Mkuu labda ungesema wazi ni mawazo ya nani unayoyazungumzia au? Hebu kua muwazi kama uko serious ni mawazo ya nani unayoyasema kwamba ni Uharo na Kamasi?
- Maana kwangu kichwa chako ndio kimejaa pumba na uharo kama wa mlevi wa ugali kwa ugali, maana tha man of your age na education kufikia kuandika kama hivi mbele ya public lazima uwe na Sotoka au Swine Flu, kama sio kichaa cha mbwa!
- Tanzania as a nation ni bigger than one man Kikwete, hatuwezi kulipeleka chini taifa zima on everything kwa sababu ya mtu mmoja tu, na sio lazima wote hapa tuwe na mawazo yenye kamasi na uharo kama yako! Maana msema njia huwa aliipitia ndio maana ni rahisi kuona mwingine mwenye mawazo ya uharo na kamasi ni kwa sababu lazima na wewe unayo, au?
FMES!