Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Mkuu, kwa bei ya 15000 chupa labda iwe ndogo ila kwa 3.4 huwezi kupata kwa bei hiyo. Hiyo ni bei ya madukani kwenyewe kwenye DUTY FREE. Sasa ukiongeza na usafiri, faida, gharama ndogondogo, ndiyo inakuwa kwenye bei hiyo aliyotoa jamaa.
Kuna sehemu ninaweza kuja kuanza kuziuza mwakani mwishoni hizi PERfUME za bei juu ila dukani kwenyewe ntakaponunulia, wanauza kwa bei ya $80. Sasa ukiongeza na kodi, usafiri na bughudha nyingine, huwezi kupata kwa hiyo bei ya $100. Labda kama mtu ANAKUVULIA au ulimuagizia au KAIBA.
Kuna sehemu ninaweza kuja kuanza kuziuza mwakani mwishoni hizi PERfUME za bei juu ila dukani kwenyewe ntakaponunulia, wanauza kwa bei ya $80. Sasa ukiongeza na kodi, usafiri na bughudha nyingine, huwezi kupata kwa hiyo bei ya $100. Labda kama mtu ANAKUVULIA au ulimuagizia au KAIBA.
Mkuu ulinunua wapi?...sijapata wasaa wa kusafiri na kunua kama duty free naona bei za hapa home ni kubwa kidogo kwa mfano pale Mlimani inauzwa 150000 na hapa jamvini naona jamaa anasema anayo kwa 260000