Pepsi Tanzania yaanzisha Fridge inayojiendesha yenyewe!

Tusker Bariiiidi

JF-Expert Member
Jul 3, 2007
5,520
2,091
Wiki iliyopita nilitembelea mgahawa wa Steers Millenium Towers hapa Dar na kukuta Fridge kubwa ya Pepsi inayojiendesha yenyewe yaani Vending Machine Definition yake...A vending machine provides various snacks, beverages, and other products to consumers. The idea is to vend products without a cashier. Items sold via vending machines vary by country and region. Nilifurahishwa sana kuiona huduma hiyo ya kwanza ya aina yake hapa Tanzania lakini nilijikuta napigwa na butwaa baada ya kukuta kuwa bidhaa hiyo inayouzwa kwa Sh.1500 unatakiwa uwe na kiasi hicho yaani inapokea sarafu za 100 na 200 au Noti ya 500 au 1500 tu kama huna chaliiii:(:(:(... haupati huduma... ukitoa kasoro hizo sii vibaya PSI na wadau wengine wakaanzisha huduma hizo kama kuuza Condom:):):) KY Jelly:):):):) etc kwa kutumia machine hizo kwani wengi huona aibu kununua Ndomu ktk maduka... nk...
 
Tulinzia na ATM, sasa vending machines... good progress!! ila sijui tatizo la foleni ndefu za magari litapatiwa vipi ufumbuzi... hivi wazo la flyovers limefika wapi Dar?
 
Wiki iliyopita nilitembelea mgahawa wa Steers Millenium Towers hapa Dar na kukuta Fridge kubwa ya Pepsi inayojiendesha yenyewe yaani Vending Machine Definition yake...A vending machine provides various snacks, beverages, and other products to consumers. The idea is to vend products without a cashier. Items sold via vending machines vary by country and region. Nilifurahishwa sana kuiona huduma hiyo ya kwanza ya aina yake hapa Tanzania lakini nilijikuta napigwa na butwaa baada ya kukuta kuwa bidhaa hiyo inayouzwa kwa Sh.1500 unatakiwa uwe na kiasi hicho yaani inapokea sarafu za 100 na 200 au Noti ya 500 au 1500 tu kama huna chaliiii:(:(:(... haupati huduma... ukitoa kasoro hizo sii vibaya PSI na wadau wengine wakaanzisha huduma hizo kama kuuza Condom:):):) KY Jelly:):):):) etc kwa kutumia machine hizo kwani wengi huona aibu kununua Ndomu ktk maduka... nk...



:confused::confused::confused:
 
Tulinzia na ATM, sasa vending machines... good progress!! ila sijui tatizo la foleni ndefu za magari litapatiwa vipi ufumbuzi... hivi wazo la flyovers limefika wapi Dar?

Unafikiria vizuri, lakini nadhani inabidi tuwe na definition ya flyovers, Plan iliyokuwepo iliuzwa kwa jina la flyovers lakini ukweli ilikuwa ni interchange not flyovers. Hivyo ambacho kingefanyika ni transfer of queue.
 
Wiki iliyopita nilitembelea mgahawa wa Steers Millenium Towers hapa Dar na kukuta Fridge kubwa ya Pepsi inayojiendesha yenyewe yaani Vending Machine Definition yake...A vending machine provides various snacks, beverages, and other products to consumers. The idea is to vend products without a cashier. Items sold via vending machines vary by country and region. Nilifurahishwa sana kuiona huduma hiyo ya kwanza ya aina yake hapa Tanzania lakini nilijikuta napigwa na butwaa baada ya kukuta kuwa bidhaa hiyo inayouzwa kwa Sh.1500 unatakiwa uwe na kiasi hicho yaani inapokea sarafu za 100 na 200 au Noti ya 500 au 1500 tu kama huna chaliiii:(:(:(... haupati huduma... ukitoa kasoro hizo sii vibaya PSI na wadau wengine wakaanzisha huduma hizo kama kuuza Condom:):):) KY Jelly:):):):) etc kwa kutumia machine hizo kwani wengi huona aibu kununua Ndomu ktk maduka... nk...


SHkamoo nzee!! condom siku hizi watu hawaoni aibu kwenda kununua, ila ky! mh mhhh!!!!mende
 
Wiki iliyopita nilitembelea mgahawa wa Steers Millenium Towers hapa Dar na kukuta Fridge kubwa ya Pepsi inayojiendesha yenyewe yaani Vending Machine Definition yake...A vending machine provides various snacks, beverages, and other products to consumers. The idea is to vend products without a cashier. Items sold via vending machines vary by country and region. Nilifurahishwa sana kuiona huduma hiyo ya kwanza ya aina yake hapa Tanzania lakini nilijikuta napigwa na butwaa baada ya kukuta kuwa bidhaa hiyo inayouzwa kwa Sh.1500 unatakiwa uwe na kiasi hicho yaani inapokea sarafu za 100 na 200 au Noti ya 500 au 1500 tu kama huna chaliiii:(:(:(... haupati huduma... ukitoa kasoro hizo sii vibaya PSI na wadau wengine wakaanzisha huduma hizo kama kuuza Condom:):):) KY Jelly:):):):) etc kwa kutumia machine hizo kwani wengi huona aibu kununua Ndomu ktk maduka... nk...

Nataka kubadili uraia..
 
Tusker Bariiiidi

Usione sooo ukauza mechi eti uliona aibu kukunua ndom kwenye duka analouza mama mzee zee...
 
Back
Top Bottom