Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Wiki iliyopita nilitembelea mgahawa wa Steers Millenium Towers hapa Dar na kukuta Fridge kubwa ya Pepsi inayojiendesha yenyewe yaani Vending Machine Definition yake...A vending machine provides various snacks, beverages, and other products to consumers. The idea is to vend products without a cashier. Items sold via vending machines vary by country and region. Nilifurahishwa sana kuiona huduma hiyo ya kwanza ya aina yake hapa Tanzania lakini nilijikuta napigwa na butwaa baada ya kukuta kuwa bidhaa hiyo inayouzwa kwa Sh.1500 unatakiwa uwe na kiasi hicho yaani inapokea sarafu za 100 na 200 au Noti ya 500 au 1500 tu kama huna chaliiii... haupati huduma... ukitoa kasoro hizo sii vibaya PSI na wadau wengine wakaanzisha huduma hizo kama kuuza Condom KY Jelly etc kwa kutumia machine hizo kwani wengi huona aibu kununua Ndomu ktk maduka... nk...