Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 67,977
- 95,297
yeye ni SHEHE
Hahaha! Shemale? Then ntapenda kukutana naye nikiwa sober na mpwa nguli akiwa bodyguard wangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeye ni SHEHE
Mie sina MTU ninayetamani kukutana nae wala kumuona.
Binadamu majungu matupu na wanafki. Hakuna cha celebrity wala nini, binadamu woote ni sawa tu kwangu hawana kipya.
Ila ningependa kukutana na MUNGU na Bwana YESU......
NASIKIA JAMAA KAFUKUZWA MAYFAIR!ilikuwaje?Hahaha! Shemale? Then ntapenda kukutana naye nikiwa sober na mpwa nguli akiwa bodyguard wangu.
NASIKIA JAMAA KAFUKUZWA MAYFAIR!ilikuwaje?
NASIKIA JAMAA KAFUKUZWA MAYFAIR!ilikuwaje?
Ha ha ha ha ah Xspin welcome back, how was the seminar? I gara u on ma celular meen u now wora i mini .... whats up will Elizabeth meen? am told shez suckd out of BB4? Amani kwa B.
NGULI mwenyewe!
nasikia umefukuzwa mayfair,unaweza tolea maelezo?
Ha ha ha ha ah Xspin welcome back, how was the seminar? I gara u on ma celular meen u now wora i mini .... whats up will Elizabeth meen? am told shez suckd out of BB4? Amani kwa B.
you can say it again!Hahaha! Seminar? Hahaha! Lots of blah blah but the wallet had it. Yu knoo woram seeeing? Hahaha! Elizabeth out? Poor little girl. Wish my ZD woz there. She could kick all their asses if you undestanding what I mean.
hahahahahaha!hili swala linahitaji geti-tugedha kwa majadiliano zaidi!bodi ya geti tugedha inafikiria kukaa ndani ya siku kumi ili kujadili geti-tugedha nyingine.mwenyekiti wa bodi ndugu x-pin anamalizia agenda mbili tatuNimapema mno kuzungumza nahisi ni SEMENYA kanimaliza na nyamayao ndio maadui zangu. Naombeni ulinzi wapwa.
hahahahahaha!hili swala linahitaji geti-tugedha kwa majadiliano zaidi!bodi ya geti tugedha inafikiria kukaa ndani ya siku kumi ili kujadili geti-tugedha nyingine.mwenyekiti wa bodi ndugu x-pin anamalizia agenda mbili tatu
hakika!mdudu lazima abariki meza!kuna mdudu mzuri sana mkulima bar,pale kona.kuna jamaa anaitwa KINIBU,anachoma mdudu safi sana.nataka bodi ikae pale kuijadili geti-tugedhaYou have said it. This time mdudu lazima abariki meza.
hakika!mdudu lazima abariki meza!kuna mdudu mzuri sana mkulima bar,pale kona.kuna jamaa anaitwa kinibu,anachoma mdudu safi sana.nataka bodi ikae pale kuijadili geti-tugedha
hakika!mdudu lazima abariki meza!kuna mdudu mzuri sana mkulima bar,pale kona.kuna jamaa anaitwa KINIBU,anachoma mdudu safi sana.nataka bodi ikae pale kuijadili geti-tugedha
Pope
Usain Bolt
Members wa JF especially Mwanakijiji na huyu George-Porjie(Sijui ni Cartoonist huyu jamaa)
hakika!mdudu lazima abariki meza!kuna mdudu mzuri sana mkulima bar,pale kona.kuna jamaa anaitwa KINIBU,anachoma mdudu safi sana.nataka bodi ikae pale kuijadili geti-tugedha