Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,800
- 59,266
There is no chagga tribe but just different groups of people living around that mountain of Kilimanjaro with the following characteristics:
WASIHA: they are too backward,hawakwenda shule bado wanavuta ugoro kama wamasai,wanaume wanatahiriwa nusu!! Chaa achana nao.
WAMACHAME:huwezi kujua nani mwanamke na nani mwanaume,kila kitu ni pesa.yaani hata kama ni mkeo wa ndoa inakua hivi,kama huto pesa ya mbege ndoa yangu sikupi babangubasi kule Machame chakula cha ndoa(mapenzi) ni kwa kipimo,ukiwa katikati mama anakwambia stoooop! Hapo shilingi hamsini zako ndio zimekwisha,ukitaka ongeza uendelee.
WAKIBOSHO:specialized bandits,akina mama wakiwa wanatoa soga na mwenzie utawasikia hivi yaani dadangu we acha Alex wangu siku hisi amepefuka kweli,ana akili we acha tu! Haibi tena mfukoni siku hisi ameunda kundi lake la ujambasi,krismasi ikifika lazima nitaletewa fitenge fya kongo ladies likewise AKIOLEWA NA KYASAKA baba na mama wanamwambia hivi hivi wewe huyu mwanaume kwani ni ndugu yako? Leta hizo pesa sake tujenge huku kwetu manka!!
WAURU:very boring people,wakikaa ni kuongea kuhusu shule tuuuuu,masomo,digrii yaani Yukon not bilivu!Babu wa miaka 70 bado madaftari yake ya primary ameweka sandukuni!! Atawaonyesha wajukuu zake,ona hand writing yangu ilivyo nzuri wakati nafundishwa na father Wilson payatt.wanakumbuka majina ya walimu wao hasa wazungu tangu chekechea.wanamwogopa sana Mungu,kengele ya Kanisani ikilia saa sita utawaona wazee wote kilabuni wanasimama na kusali sala ya mchana ndio wanaendelea kunywa mbege.
WA OLD MOSHI:actually Mama Mkapa ni beauty queen kule kwao.yaani mimi sisemi nenda kachague wewe mwenyewe.wanaume ni wabishi balaa1 wanakunywa kisusio cha Nguruwe!! Na Gongo nyingiiiiiiiiii!
WAMARANGU:wanaume wote ni waongo.actually kuna somo la jinsi ya kudanganya shule zote za primary kule Marangu.both wanaume na wanawake maisha ni raha tupu.kwa Mmarangu halisi,kwanza ananunua gari,anachapa maisha,nae kulala kwenye gari wakati kodi ya nyumba inamshinda ni jambo la kawaida.
WAROMBO:kazi mtindo mmoja! Wanawake tunawaita KUBOTA aina ya matrekta yaliyosambazwa Kilimanjaro na wajapani,watafutaji wa pesa!!!! We acha tuu,lakini ukimchezea anakuua na kukimbilia kenya.
Kirua Vunjo : WanaKV.....Wanaume wanaotoka eno hili ni walevi na wezi sana!! na wanawake wao hawajui kabisa mapenzi, wanaweza kuwa katikati ya mechi ukiwaambiwa wewe Lyimo ebu malisa haraka hii kitu inawesa chakaaa ebooo unafikiri hii ni mpira !
BORING!Kila mtu anaanzisha hii post ikiwa na kichwa tofauti.Ingekua utani ningesoma nipite ila kwasababu unaonekana uko serious na unaongelea kitu unachokijua ngoja nikuulize maswali kuhusu hayo madai yako!
1. Umeuona uchi wa mwanaume wa KISIHA ukajihakikishia usemayo ama anatafuta tu namna yakujiongezea post??
2.Umewahi kuwa na uhusiano na mwanamke wa KIMACHAME akakwambia umpe pesa kabla hamjaanza tendo la ndoa?Ama akakukatisha katikati???
3.Umewahi kuwa mmoja wa washiriki katika hivyo vikao vya kina mama wa KIKIBOSHO ukasikia hayo maongezi au ni maneno yakuokota hapa na pale??
4.Umewahi kushiriki kikao cha pombe cha wazee wa KIURU ukaona wanavyosimama na kusali???Na hao wanaoeleza habari za shule tu hata kama ni kweli.....ubaya uko wapi???
5.Umewahi kwenda OLD MOSHI ww??Na wewe ni nani kuamua kwamba hamna wanawake wazuri kule??
6.Waongo wote wamezaliwa MARANGU au na WAMARANGU??
7.Ulishauwawa na MROMBO ww??
8.Umewahi kuwa na uhusiano na mwanamke anaetokea KIRUA??
Kama ulianzasha hii thread kama utani, then you shouldn't have coz it's been said too many times already.Kama ulikua siriaz kama nilivyoona mm , acha uzuzu maana hamna kitu kama ulichosema.