Entrepreneur
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 1,087
- 620
Yaan kikundi cha watu kama 1% (serikali) kinafanya maamuzi ya watu 99% (wananchi) tena bila kuzingatia maslahi mapana ya 99% (wananchi na bado hao wananchi wanakaa kimyaa! Hii haikubaliki.Hii iko sawa. Kila kitu cha mwanasiasa kinategemea udhaifu na upompo wa wananchi.