Huyu kafanana na Nungayembe moja hivi humu JF avatar yake amevaa hijab..silipendi..limenisababishia ban..lina ubishi wa kijinga na ni ajuza la magamba..anakaa kati kati ya mjin lakini ule mtaa nimeulizia hawalifaham..pale bakhresa kariakoo kwa nyuma..atakae otea na kupatia ntampunguzia 250...
View attachment 46192