Only?
Msaidie ushauri huyu Carmel
Msaada wana JF, nina tatizo la mgongo, kila nikaa chini zaidi ya masaa mawili mgongo unaniuma na wakati mwingine nahisi mgongo na kiuno vina moto. Hii inapelekea mpaka shingo na koo vinauma.
*** maumivu ya mgongo yanaweza kukuacha kwa kufanya mazoezi hata ya kutembea au kukimbia kwa mwendo wa wastani walau mara moja kwa siku kwa muda wa dkk 45. Kuhusu koo, weka kinywa chako safi kwa kupiga mswaki mara 2 kwa siku (angalau: asbh na jioni kabla ya kulala, pia tumia 'mouth wash')
Niliwahi kusoma sehemu fulani kuwa ponyeto inaleta maumivu ya mgongo, na mimi nimewahi kupiga sana nyeto kwa kuangalia dirty movies. Tena nilikuwa napiga huku nimekaa chini kavukavu. Je hii inaweza kuwa sababu.
*** dah pole kwa nyeto mkuu, sioni uhusiano wa nyeto na mgongo ila ninachofahamu ni kwamba kama hufanyi ile kitu kwa muda mrefu na pia hauufanyishi mazoezi mwili wako inapelekea maumivu kama hayo!
Ni nini nifanye sasa, maana nimeenda kwa wataalamu hapa Muhimbili bila mafanikio zaidi ya kuniambia kuwa fanya mazoezi, hata ofisini inakuwa tabu kama nina kazi nyingi siku hiyo. Mke wangu anajaribu kunifanyia massage sometimes.
*** yaani kumbe unamke halafu unanyeto? mmmh, usiniambie mnalala mzungu wa 4!!! anyway, jitahidi kufanya mazoezi tu itakusaidia na nakushauri ongezeni kamuda ka kumega tunda walau mara moja kwa siku! Unapomega najua wengi wenu mkigusa tu teyari mnamaliza gemu ndani ya dkk 2! Basi jitahidi kuendelea na goli la pili kwani utakuwa unatafuta kwa muda usiopungua dkk 35-40 na kwa hali hiyo mgongo wako utanyooka tu!
Bwabwa naomba usitie neno maana zile habari zako hazitakiwi kwenye JF
*** Kuhusu Bwabwa, binafsi naona apewe nafasi katika jamii kwani hiyo ndiyo hali halisi yake! Ndiyo maisha aliyoyachagua kuishi! Atavuna alichopanda!
kuogelea kunatengeneza umbo namba nane?
Bra Njaa umemwambia mkeo lakini kuwa ulikuwa unapunyeka sana nyakati za nyuma kabla ya kuishi pamoja isije kuwa anafanya massage akijua uliteguka kwenye mpira?Mke wangu anajaribu kunifanyia massage sometimes.
Msaada wana JF, nina tatizo la mgongo, kila nikaa chini zaidi ya masaa mawili mgongo unaniuma na wakati mwingine nahisi mgongo na kiuno vina moto. Hii inapelekea mpaka shingo na koo vinauma.
Niliwahi kusoma sehemu fulani kuwa ponyeto inaleta maumivu ya mgongo, na mimi nimewahi kupiga sana nyeto kwa kuangalia dirty movies. Tena nilikuwa napiga huku nimekaa chini kavukavu. Je hii inaweza kuwa sababu.
Ni nini nifanye sasa, maana nimeenda kwa wataalamu hapa Muhimbili bila mafanikio zaidi ya kuniambia kuwa fanya mazoezi, hata ofisini inakuwa tabu kama nina kazi nyingi siku hiyo. Mke wangu anajaribu kunifanyia massage sometimes.
Bwabwa naomba usitie neno maana zile habari zako hazitakiwi kwenye JF
...Huenda alizidisha dozi ya puli mpaka mgongo ukakorofisha..Pole!
Ulisha wahi kupata ajali ziku za nyuma au utotoni?? nenda hospitali tafuta madatari wa mifupa watakusaidia