mwanamasala
JF-Expert Member
- Jun 20, 2009
- 248
- 12
Balozi wa Tanzania nchini Urusi, Jaka Mwambi amelipwa Sh. 16,320,000 zikiwa pensheni kwa kutumikia CCM.
I cant imagine Balozi wa USA hapa Tanzania,alipwe pensheni ya say Republican party kwa kukitumia chama chake.
WanaJF mjue hela zote za BOT scandals,EPA ,Meremeta ndio zinafund CCM.Ndio maana Rostam Aziz atatesa mpaka siku ya kufa
I cant imagine Balozi wa USA hapa Tanzania,alipwe pensheni ya say Republican party kwa kukitumia chama chake.
WanaJF mjue hela zote za BOT scandals,EPA ,Meremeta ndio zinafund CCM.Ndio maana Rostam Aziz atatesa mpaka siku ya kufa