Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,269
- 24,266
Nko mbal kidogo ila nkirudi Tz ntakustua ili niangalie namna ya kukutumia...Ntakipataje mkuu
Siuonaona siku hz hadi nashndwa kuwashushia riwaya kule Kf coz riwaya nmeziacha home
Nko mbal kidogo ila nkirudi Tz ntakustua ili niangalie namna ya kukutumia...Ntakipataje mkuu
Hahahaha mkuu unazngua ila kwel ingenogaHii stori ingenoga angeingiza na mgogoro wa cuf maana unabamba saa hz tunauza sanaaa
hahaha nisha toa taarifa mkuu kuwa baada ya kama 2 weeks mambo yatakuwa mswano.ww tulia vuta subilaNimegundua Madhara makubwa ambayo yamesababishwa na *USALITI* wa Elibariki .
Inavyoonekana *Lege* kuna namna alikua amejiunganishia mawasiliano na akaweza kupata habari zote kwa Wakati . Sasa kuzimwa kwa simu na Saa ya Kigamba na yeye sasa haoni kinachoendelea!
hahaha nisha toa taarifa mkuu kuwa baada ya kama 2 weeks mambo yatakuwa mswano.ww tulia vuta subila
Hahahaah pole sana mtani ndio ukubwa huoTayari wapiga makelele yamefanya yao hapa naugulia maumivu
Shukran ndio ligi yetu hiyoHahahaah pole sana mtani ndio ukubwa huo
Kuvuka maji ya shingo bila kende kuloa wananogesha hadithi tu ila kiuhalisia haiwezekani na akeshae hodari mwepesi huyo ni makumazahn ndio maana ya hilo neno (makumazahn )Kwenye msshimo ya mfalme Suleiman kuna mtu anaitwa Umbopa. Huyu jamaa ndiye aliyevuka maji ya shingo bila ya Pu,mbu kulowa. Watu huwa wanamkosea na kumchanganya na Umsolopagaazi Mwana wa Makumazani, akeshaye usiku asiyepitwa na jambo.
Lugha ya pichaAngekiangamizaje mkuu?
Maana kwa mujibu wa mtunzi, mara baada ya kukiachia toka sehemu kilipofungiwa, ndipo kinasambaza homa hiyo. Kwahiyo kwa kufuata maelekezo hayo maana yake ili kukiua, unatakiwa kutafuta kanuni zilizotumika kukitengeneza then utafute namna ya kukitengua.....
Kwa swali lako, Unataka kuniambia John alikuwa na Kanuni zilizotumika kutengeneza Aby?
BACK TANGANYIKA
basi poaNko mbal kidogo ila nkirudi Tz ntakustua ili niangalie namna ya kukutumia...
Siuonaona siku hz hadi nashndwa kuwashushia riwaya kule Kf coz riwaya nmeziacha home
Hahahhh Katavi wwLeo vijana wa jangwani hawatakuangusha.!
Hahahaah vijana wamemuangusha aisee.!Hahahhh Katavi ww
Copy zipo kwa rafiki yake mu Israel,alietoa tafsiri ya yale maandishiKibox Paniela alikificha kule Makazi Mapya aliko pewa na Hon Rais
Ila zile nyaraka Ndo Basi tena
Kuanzia Sasa sito muamini Mtu humu Tofauti na Mathew Jaji alichofanya Sina ham kabisa
Lege nahitaji sana mtuhumiwa hata kwa kukinunuaTuwekee na hizo LEGE
namkumbuka jaka kwenye mtuhumiwa kama kuna kitabu chake tufanye biasharaTuwekee na hizo LEGE
Copy zipo kwa rafiki yake mu Israel,alietoa tafsiri ya yale maandishi