Suala sio kanisa kuhusika na madawa bali aliyetajwa ni yeye bwana Pengo,kwanini analiingiza kanisa?kama kuigonga serikali mbona viongozi wengi tu wadini akiwamemo kakobe,mzee wa upako,Rev,Mtikila n.k.mbona hawajatwa katajwa yeye,au huko katoliki kwanini wasimtaje kilaini na wengine katajwa yeye kama anavyodai maana sisi hiyo list hatujaiona so far zaidi ya kumsikia yeye akiweweseka!
Siko zote mimi huwa nasema PENGO is a disaster kwenye hii nchi,mbona akina mzee Rugambwa enzi zile hawakuipenda dunia kama yeye?halafu watanzania tusipende kutetea tetea tu hata pasipo kuwa na uhakika,pengo ni binadamu,kwani yule askofu aliyeshiriki mauaji ya kimbari rwanda ilikuwaje?si nae alikua anaheshimika kama huyu PENGO before na kila muumini alimpenda na kumuamini?lakini kilichokuja kutokea kila mtu alishangaa,lakini hatukuklihusisha kanisa lote kwa ujinga wa yule askofu,na hili la PENGO kamaa kweli katajwa kwenye madawa tuwaachie polisi wafanye kazi yao ya kuyathibitisha madai hayo kwani kutajwa tu hakumtii mtu hatiani,pengo amefanya pupa ya bure ambayo inamfanye aonekane anakosa usingizi baada y kujulikana kwa taarifa zake sasa anazitoa kabla hazijatolewa ili zikitolewa aseme mi nilisema kuna njama,huo ni ujanja wa kitoto!
kweli akili ni nywele...lol
eti serikali ilazimishwe impeleke mahakamani...
wapi serikali imesema Pengo anachunguzwa?
si ni yeye mwenyewe anabwabwaja????
Inawezekana Pengo kakumbuka maneno ya JM kikwete kuwa uwongo ukisemwa sana hugeuka uwa ukweli. So yeye kama kiongozi kama kasikia jina lake Pengo linatajwa tajwa lazima na muhimu atoe tamko.
The Boss sikujua nawe ni muumini wa serikali yenye kutoa ultimatum kwa wavunja sheria (wezi bandarini, TRA, EPA, wauza unga).
Joka la kibisa??.....
Inawezekana Pengo kakumbuka maneno ya JM kikwete kuwa uwongo ukisemwa sana hugeuka uwa ukweli. So yeye kama kiongozi kama kasikia jina lake Pengo linatajwa tajwa lazima na muhimu atoe tamko.
Suala sio kanisa kuhusika na madawa bali aliyetajwa ni yeye bwana Pengo,kwanini analiingiza kanisa?kama kuigonga serikali mbona viongozi wengi tu wadini akiwamemo kakobe,mzee wa upako,Rev,Mtikila n.k.mbona hawajatwa katajwa yeye,au huko katoliki kwanini wasimtaje kilaini na wengine katajwa yeye kama anavyodai maana sisi hiyo list hatujaiona so far zaidi ya kumsikia yeye akiweweseka!
Siko zote mimi huwa nasema PENGO is a disaster kwenye hii nchi,mbona akina mzee Rugambwa enzi zile hawakuipenda dunia kama yeye?halafu watanzania tusipende kutetea tetea tu hata pasipo kuwa na uhakika,pengo ni binadamu,kwani yule askofu aliyeshiriki mauaji ya kimbari rwanda ilikuwaje?si nae alikua anaheshimika kama huyu PENGO before na kila muumini alimpenda na kumuamini?lakini kilichokuja kutokea kila mtu alishangaa,lakini hatukuklihusisha kanisa lote kwa ujinga wa yule askofu,na hili la PENGO kamaa kweli katajwa kwenye madawa tuwaachie polisi wafanye kazi yao ya kuyathibitisha madai hayo kwani kutajwa tu hakumtii mtu hatiani,pengo amefanya pupa ya bure ambayo inamfanye aonekane anakosa usingizi baada y kujulikana kwa taarifa zake sasa anazitoa kabla hazijatolewa ili zikitolewa aseme mi nilisema kuna njama,huo ni ujanja wa kitoto!
Kumbe na wewe ni mtoto wa mama mdogo?
kama hawana ushahidi wafanyaje?
waache kuchunguza?
hawawezi kwenda mahakama hawana ushahidi
hiyo haifanyi kuweka list ya watu wa kuchunguzwa kuwa ni kuonewa
tena na mtu anaejitangaza mwenyewe kuwa yupo kwenye orodha....
assume pengo kweli anafanya huu mchezo mchafu. Je anaweza kuwa anaufanya kwa maslahi yake binafsi au anaufanya kama mradi wa Kanisa?
Kama ni mradi wa Kanisa nataka nikuhakikishie Kanisa la RC kwa structure yake haliwezi kumtumia Pengo kuna watu na watumishi wengine wangetumika. Laini hili kama mkatoliki ningepnda kusikia japo kaitwa kuhojiwa. Kwanza Ziara anzofanya Pengo nje ya nchi ni chache sana. wa hiyo hata sisi wakatoliki tunapenda kujua Ni kanisa letu la tanzania linafanya hii biashara au ni "watu" ndani ya kanisa au ni vita ya wanasiasa fulani na kanisa la RC limeoneana ndio uwanja bora
Kama ni biashara yake binafsi na ni nje ya system ya Kanisa basi tungesikia wamenesawa wengine wengi amabao wangemtaja na vile vile vyombo husika vilitakiwa Kulifanyia kazi.
kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, sasa kama mtu anasimama kutetea drug dealers wanaotumia jina la kanisa kwa nini na yeye asiwemo kwenye list? wewe wadhani alihamishiwa kagera kwa mazuri? ni mengi yangelipuka kama angeendelea kaa hapa dsm. all in all, pengo aache unafiki, urafiki wake wa karibu na drug dealers watia mashaka. may be wote wanachonga michongo pamoja....who knows....? watu hawawezi just list him without knowing his involvement.
toka hapa na pumba zako hapa
f..k you kikwete na siasa zako za maji taka, nani hakujui ulivyo wapaka matope akina sumaye, mwandosya, salim ahmed salim who was the best president na fitina zako mpaka kesho zinakusuta
my president was salim ahmed salim sio ww muuza sura
pili unafiki wako tumeuchoka ulianza kusema kwenye baraza la maaskofu kuwa baadhi ya viongozi wa dini wana fanya biashara ya madawa! alafu ukaja kwenye baraza la idd dodoma ukasema mashekh na watoto wao wanafanya biashara ya madawa unajifanya msanii kwa kutufanyia michezo ya kuigiza
unavyombo vyote vya dola na wawajua wote kwa nini usiwakamate au ndio ya akina amina chifupa alivyotaka kuwataja ww na wenzio mkamuua binti wa watu kwa masumu yenu mliyowapa mwandosya na mwakyembe.
tumechoka na siasa za maji taka
hata sijakusoma mwanagu mwenyewe labda utoe ufafanuzi zaidi una maana gani
Nani kakurupuka? Mimi au wewe? Soma uelewe nini kimendikwa siyo kukurupuka tu. Mimi wala gari analotumia Mhashamu Policarp Kadinali Pengo silijui. Mantiki ya post yangu ilikuwa kumdhihaki jamaa aliyejibu post yangu kuwa Vague. Mimi nikasema gari la kifahari? Nikiwa na maana hiyo vague alikuwa akimaanisha Vogue? Najue vague ni kwamba haieleweki nami nikajifanya sielewi! Wapi nimesema anatumia gari la kifahari? Acha kukurupuka na kujifanya wewe ndio mkatoliki namba one. Mimi mwenzio ni mwenyekiti wa baraza la walei parokiani kwangu.
Huyo nina hakika 99.999% sio Pengo. Kanisa la RC haliendi kwa mafundisho ya UTABIRI TABIRI tena ya mauda specific.......halafu si ndo huyu Pengo aliesema mwisho wa dunia ni mwaka 2000?????
au hiyo nayo namsingizia?????
Huyo nina hakika 99.999% sio Pengo. Kanisa la RC haliendi kwa mafundisho ya UTABIRI TABIRI tena ya mauda specific
Michango ni mingi sana ila take this also. JK naye yupo kwenye list hiyo ya madawa ya KULEVYA. NAOMBA MICHANGO HAPA PIA.