The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Nini kiliwazuia wasimkamate kutekeleza matakwa ya sheria? kuna viashiria vya uongo kama si njama.
wewe unajua sheria?
polisi hawakamati kila mtu wanaeambiwa ni mhalifu
lazima wawe na taarifa na ushahidi wa kukubalika mahakamani....
ndo maana wapo majambazi wakubwa wa ki mafia marekani
walikuwa hawamatwi ingawa wanajulikana wanachokifanya....
fuatilia historia za kina JOHN Gotti na AL Capone na wengineo akina Lucky Luciano....