Rais Kikwete alitumia jukwaa/mimbari ya Kanisa Katoliki kutamka maneno yake. Maaskofu wake hawakimjibu hadi mwezi huu. Kiimani hata kimaadili Kanisa limekwazika kama dhambi nyingine inayotafuna WTZ wote ya UFISADI hata kama hukushiriki.
Inaumiza, Mkuu wa Dini anachomwomba JK awe jasiri awataje wahusika ili washughilikiwe kama wale mapadre walawiti. Vinginevyo tamko lake la jumla litamgharimu kwa kutengeneza chuki isiyo ya lazima kama alidhani msg sent but at a wrong place space and time. Ukatoliki thabiti unatafuta kusimamia kwenye ukweli na haki.
Bravo Askofu Card Pengo.
Inaumiza, Mkuu wa Dini anachomwomba JK awe jasiri awataje wahusika ili washughilikiwe kama wale mapadre walawiti. Vinginevyo tamko lake la jumla litamgharimu kwa kutengeneza chuki isiyo ya lazima kama alidhani msg sent but at a wrong place space and time. Ukatoliki thabiti unatafuta kusimamia kwenye ukweli na haki.
Bravo Askofu Card Pengo.