AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,033
Kuna MwanaJF mmoja aliwahikuwasema humu Jamvi kuwa Ni Bora Kikwete akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi anatoa maneno ya Kukejeli, Kuudhi na ya kijingajinga anaropoka hovyo kama vile hakuwahi kumaliza Shule. Nimeamini kuwa Kikwete akiwa nje ya Tanzania, Watanzania wanakuwa na uafadhali kuliko akiwa ndani.
Kwanini tusimtoeni kwa Nguvu ya Umma, ni kitu gani kinashindikana? Watanzania wenzangu muda wa kuchukuwa hatua umefika mambo mengine sio ya kuyafumbia Macho lazima tusimame na nchi yetu
Kwanini tusimtoeni kwa Nguvu ya Umma, ni kitu gani kinashindikana? Watanzania wenzangu muda wa kuchukuwa hatua umefika mambo mengine sio ya kuyafumbia Macho lazima tusimame na nchi yetu