Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Heshima Mbele,
Kam,a Mtakumbuka kipindi Flani Mkulu FMES(wazee wasauti za umeme) alieleza khali ya mgonjwa pendo magaruda.Kwa taarifa ambzo nimezipata toka kwa mmoja wa watu wa karibu wa familia hiyo ni kwmaba amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo kwa saa za Tanzania.
Nitawapa Update Msiba uko wapi mara baada ya kuwasiliana na wanafamilia wa familia hiyo
Gembe.
Kam,a Mtakumbuka kipindi Flani Mkulu FMES(wazee wasauti za umeme) alieleza khali ya mgonjwa pendo magaruda.Kwa taarifa ambzo nimezipata toka kwa mmoja wa watu wa karibu wa familia hiyo ni kwmaba amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo kwa saa za Tanzania.
Nitawapa Update Msiba uko wapi mara baada ya kuwasiliana na wanafamilia wa familia hiyo
Gembe.