Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Kufuatia hivi majuzi (Kagame Cup)
Yule Mheshimiwa aitwae "Mnyama wa Msimbazi" John Boko wa Azam Kum'BOKOA mnyama bao za kutosha, na hivyo kumuondoa mnyama out of the route .
Napendekeza huyu badala ya kuitwa "Mnyama wa Msimbazi " sasa tumwite "MREMBO WA MSIMBAZI ? "
Hoja imetolewa na imeungwa mkono! Wanao'afiki waseme .......
Yule Mheshimiwa aitwae "Mnyama wa Msimbazi" John Boko wa Azam Kum'BOKOA mnyama bao za kutosha, na hivyo kumuondoa mnyama out of the route .
Napendekeza huyu badala ya kuitwa "Mnyama wa Msimbazi " sasa tumwite "MREMBO WA MSIMBAZI ? "
Hoja imetolewa na imeungwa mkono! Wanao'afiki waseme .......