Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti leo kuwa Tanzania imeamua kufunga ubalozi wake nchini Uholanzi sio tuu kutokana na hali ya uchumi bali pia "conflict of interests" kati ya Uholanzi na Tanzania huku Uholanzi ikijikita zaidi kwenye uwekezaji na biashara. Nimesoma taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya nje lakini haijazungumizia kama ubalozi wetu nchini Uholanzi haujafungwa.
Kwa mujibu wa tovuti ya The Citizen: "It is obvious that there was a deterioration of the diplomatic relationship between Tanzania and Holland," said Mr Haule. "We decided to close our office after our colleagues concentrated on protecting their investors and businessmen in the country. Tanzania did not get what it wanted."
All is not lost, though, as the government still owns a house in Holland, which is in the care of the honorary consul. "Our house in Holland brings at least 8,040 Euros to the government every year and, at the moment, we have a honorary consul officer who reports to our embassy office in Brussels," he explained.
Source: Cash crisis hits Foreign ministry
Bit by bit we loose friends who were keeping us busy with visits to the extent that we forgot our own voters. Happy valentine anyway!