Haya sasa!..
The country is in its final step to collapse!
Save us or Lord!
Hapana, nafikiri uholanzi hakuna ubalozi naamini kulikuwa kuna madili fulani.
Haya sasa!..
The country is in its final step to collapse!
Save us or Lord!
Kuna kipindi pale nilienda nikakuta kuna mzungu kwenye ofsi binafsi zake ndiye kosulati huyo? ama wana ofsi zingine?
Mkama,Kuna kipindi pale nilienda nikakuta kuna mzungu kwenye ofsi binafsi zake ndiye kosulati huyo? ama wana ofsi zingine?
Huyo huyo ndie anaripoti kwenye ubalozi wa TZ in Belgium nadhani.Kuna kipindi pale nilienda nikakuta kuna mzungu kwenye ofsi binafsi zake ndiye kosulati huyo? ama wana ofsi zingine?
Ndo hivyo, na FMES akaahidi kufikisha ujumbe kwa JK ila akakiri labda yupo 'busy'Kumbe yalishajadiliwa humu.
Huyo huyo ndie anaripoti kwenye ubalozi wa TZ in Belgium nadhani.
Kuna kipindi pale nilienda nikakuta kuna mzungu kwenye ofsi binafsi zake ndiye kosulati huyo? ama wana ofsi zingine?
Jamani click hiyo link, harafu kushoto kwake kuna nyumba i click hiyo nyumba subiri kidogo i load, hapo ndo ubalozi wa Tanzania , kwi kwi kwi. Si utani.
H.A. Van Karnebeeklaan 46 Amsterdam 1181 - Google Maps
Address: | Parallelweg Zuid 215 |
Postal code & City: | 2914 LE Nieuwerkerk aan den IJssel |
Phone No.: | 0180-320939 |
Fax No: | 0180-319158 |
Opening hours: | monday to friday from 10.00 a.m. untill 13.00 pm. |
E-mail address: |
Haya sasa!..
The country is in its final step to collapse!
Save us or Lord!
Nimekusoma mkuu. Si unajua journalism huku kwetu bado kabisa? Mtu mmoja anaandika, wengine wanacopy paste. kama huyo wakwanza alikosea -which is human- wengine wote wana sambaza hilo kosa bila kulichunguza -which is highly unprofessional.Message from the Ambassador
"I am delighted to welcome you to the website of the Embassy of the United Republic of Tanzania based in Brussels. This Embassy is accredited to the Kingdom of Belgium, the Kingdom of Netherlands, the Grand Duchy of Luxembourg and the European Union." Tanzania Embassy
Vyombo vyetu vya habari wanashindwa hata kufanya kautafiti? Au walikuwa wanamaanisha kuwa hiyo consular ndio imefungwa?
Sio kwa mwezi mkuu, ni kwa mwaka! Na ukichunguza utkuta kuna ndugu ya fisadi kapewa akae tu na alipe hivyo vijisenti per annum!wajamaa wanachekesha kweli, kweli kweli eti nyumba inaleta euro 8000 kwa mwezi. Kwi kwi kwi kwi kwi hiyo ni nyumba ama nini? Maana mie napanga na ishi kama njiwa lakini nalipa zaidi ya hiyo pesa kwa mwaka. Hebu wajameni tusaidiane ktk swala hilo unajua lina utata sana.
Mbona address zinatofautiana? Which is which
Address: Parallelweg Zuid 215 Postal code & City: 2914 LE Nieuwerkerk aan den IJssel Phone No.: 0180-320939
Fax No: 0180-319158 Opening hours: monday to friday from 10.00 a.m. untill 13.00 pm. E-mail address:
Source: welkom op www.tanzania.nl
wajamaa wanachekesha kweli, kweli kweli eti nyumba inaleta euro 8000 kwa mwezi. Kwi kwi kwi kwi kwi hiyo ni nyumba ama nini? Maana mie napanga na ishi kama njiwa lakini nalipa zaidi ya hiyo pesa kwa mwaka. Hebu wajameni tusaidiane ktk swala hilo unajua lina utata sana.