Pendekezo: SLAA amrithi SUMARI Arumeru!

Chadema kufuata ushauri wa magamba na antiChademas ni sawa na Hawa kukubali ushauri wa shetani na kula tunda la mti wa kati!
sawa sawa, kuna fumbo kubwa sana ndani yake, wakifuata ushauri wao tu magoli mia ndani watafungwa within a second.
 
Katika uchaguzi mgumu wa majimbo huu utakuwa mmoja wapo kwa sababu zifuatazo;
  1. Jimbo la Arumeru Mashariki Laweza kuwa ngome kubwa kwa mtu kama Lowassa kwa sababu kuu moja tu, Hili ndilo jimbo alikozaliwa Lowassa, hii ni sawa na kufananisha JK na Bagamoyo. Kwa ufupi tu Lowassa ni mzaliwa wa kijiji cha Ambureni wilayani Arumeru na ndiko alikokulia mpaka ulipotokea ugomvi wa koo maeneo hayo na yeye akiwa na baadhi ya wazee kuamua kujitenga na kuamia umasaini monduli. Kwa mantiki hii basi ni wazi akatumia historia ku win attention ya wananchi wa pande zile dhidi yake kwa kujiweka karibu nao tena kama ndugu yao..,ikumbukwe kipindi cha cha kuelekea uchaguzi mkuu 2010 Lowassa alikuwa akijisogeza sana kwa wakazi wa kule ikiwa ni pamoja na kuhudhuria misiba mingi iliyokuwa ikijitokeza na kwa haraka unaweza kuona ndio mbinu aliyoitumia kumpigia kampeni marehemu Sumari hadi kupelekea ushindi, bila shaka ataendelea kutumia mbinu hii na hili ndilo laweza kuwa CHANGAMOTO kubwa mno kwa CDM kushinda katika uchaguzi huo.
  2. Ni wakati muhimu kwa CDM kupima uwezo wake kushinda uchaguzi mkuu 2015 endapo Lowassa ataamua kuwa mgombea wa kiti cha Uraisi sambamba na Dr. Slaa. Hlii litajidhihiisha pale ambapo Lowassa atatumika kuipigia CCM kampeni na Dr. Slaa atakapotumika kuipigia CDM kampeni.

    Huu utakuwa ni mzani tosha wa nguvu ya kisiasa kati ya Lowassa na Dr. Slaa.

Ndio mana cc tulioliona mapema hilo tukapendeza the heavy weight politician mr.wilbroad slaa aingie pale mwenyewe pale,sasa hawa vijana wanapiga piga mayowe oooh rais hawezi kugombea ubunge!kile kiti ni muhimu sana kwa chadema kudhihirisha nguvu zake kanda ya kaskazini sio kilimanjaro tu!
 
acheni uoga mbona mrema aliweza temeke tena akamshinda mzawa na mtu wa mjini vile vile!


Chadema hatufanyi siasa za copy and paste, tena mtu mwenyewe wa kuigwa ni mamluki Lyatonga Mrema!

Nakukumbusha tena hatuishi katika historia, wakati huu mambo mengi yamebadilika sana na strategy za kisiasa lazima zibadilike pia.
 
Katika uchaguzi mgumu wa majimbo huu utakuwa mmoja wapo kwa sababu zifuatazo;
  1. Jimbo la Arumeru Mashariki Laweza kuwa ngome kubwa kwa mtu kama Lowassa kwa sababu kuu moja tu, Hili ndilo jimbo alikozaliwa Lowassa, hii ni sawa na kufananisha JK na Bagamoyo. Kwa ufupi tu Lowassa ni mzaliwa wa kijiji cha Ambureni wilayani Arumeru na ndiko alikokulia mpaka ulipotokea ugomvi wa koo maeneo hayo na yeye akiwa na baadhi ya wazee kuamua kujitenga na kuamia umasaini monduli. Kwa mantiki hii basi ni wazi akatumia historia ku win attention ya wananchi wa pande zile dhidi yake kwa kujiweka karibu nao tena kama ndugu yao..,ikumbukwe kipindi cha cha kuelekea uchaguzi mkuu 2010 Lowassa alikuwa akijisogeza sana kwa wakazi wa kule ikiwa ni pamoja na kuhudhuria misiba mingi iliyokuwa ikijitokeza na kwa haraka unaweza kuona ndio mbinu aliyoitumia kumpigia kampeni marehemu Sumari hadi kupelekea ushindi, bila shaka ataendelea kutumia mbinu hii na hili ndilo laweza kuwa CHANGAMOTO kubwa mno kwa CDM kushinda katika uchaguzi huo.
  2. Ni wakati muhimu kwa CDM kupima uwezo wake kushinda uchaguzi mkuu 2015 endapo Lowassa ataamua kuwa mgombea wa kiti cha Uraisi sambamba na Dr. Slaa. Hlii litajidhihiisha pale ambapo Lowassa atatumika kuipigia CCM kampeni na Dr. Slaa atakapotumika kuipigia CDM kampeni.

    Huu utakuwa ni mzani tosha wa nguvu ya kisiasa kati ya Lowassa na Dr. Slaa.

mkuu nilivyoanza kusoma nkajua unataka Dr. agombee jimboni, nilivyoendelea nikakuelewa vibaya mno, hakika ELairline haiwezi kushindana angani na ndege ya Dr. (sijui kifupisho tuiiteje.)
 
CCM bana, mnataka akagombee ubunge ili mkampoke ushindi wake kwa nguvu ili muhalalishe kushindwa kwake kwenye kura za urais, ujanja wenu tumeshaujua.
"kushindwa kwake" kwenye urais upi tena wa 2015 au?
 
Kwa hiyo wabunge wanatosha hamtaki tena slaa aongeze idadi au?na kuhusu wabunge hata nccr iliwahi kuwa na wabunge wengi lakini jiulize walikwenda wapi?acheni kuridhika mapema nyie..mnahitaji wabunge zaidi,hapo unguja tu sisemi pemba hamna kiti hata kimoja,cuf wameweza kupata huku kwanini na nyie msipate kule?na bado mnasema kuna mtu anaimarisha chama..tokea akose urais na kuwa nje ya bunge chadema imeshinda chaguzi ngapi yeye akishinda kwenye ofisi za chama na ku dedicate muda wake wote kufanya shughuli za chama tu?
MKuu si lazima kupima viti CDM ilivyoshinda au kushindwa,.. uwepo wake katika kampeni mbalimbali umepelekea Kusababisha nyufa zaidi ndani ya chama tawala.
 
Kama umesoma utaelewa kuwa struggle kwenye jamii ni mambo ya kawaida.........msikuze mambo ....issue ya katibu wa wilaya na mwenyekiti wa wilaya kilombero ....huko ccm ni Wajumbe wangapi wa Kamati kuu na halamshauri kuu wqnagombana Hadi kulishana sumu.....tens Ugomvi wa kinafiki wa kuchekeana usoni huku mnauwanaa..si bora wanaoaambiana ukweli ....mchana!
Mwenyekiti wa ccm kwenye hotuba Yake aliongelea hili akasema watu wanaogopa hata kunywa bia pamoja na kwenda chooni pia....au utapingana na mtu mmwenye all sources of information at his palm......

Nashangaa sana kubebea bango mgogoro wilayani ......nyie kwenye taifa ,mkoa,na wilAya ni mchapano...

is ccm a role model of chadema?
 
Binafsi napendekeza CHADEMA imsimamishe Dr.SLAA kwenye kinyang'anyiro cha ubunge huko Arumeru. Hii itaipa chadema kwanza nafasi kubwa ya kukinyakua kiti hicho kwa kuwa Slaa kwa sasa ni heavy weight politician na pia watanzania wenye uchungu na nchi hii tumekuwa tukiukosa mchango wa Dr pale bungeni.

Wengi tunaukumbuka ujasiri wake akiwa anga zile, kiukweli Mboe anapwaya kwenye nafasi ya kiongozi wa upinzani pale bungeni,waziri mkuu Pinda na serikali yake wanahitaji kuchangamshwa na mtu machachari wa aina ya Slaa,Lema au Tundu!....

Mboe amekua na huruma huruma hivi,sasa slaa kama atafanikiwa kushinda ubunge(nina uhakika atashinda)basi mh.mboe awe muungwana kwa kumpisha bwana Slaa kiti cha kiongozi wa upinzani!hii imekaaje wadau,yote ni katika kuimarisha makali ya bunge.

Kwa ubunge sawa, kwa Uraisi ataharibu mnoooooooooooooooo! Siombei apate Uraisi asiwepo wa kumwongoza manake ana vinyongo mno!
 
mkuu nilivyoanza kusoma nkajua unataka Dr. agombee jimboni, nilivyoendelea nikakuelewa vibaya mno, hakika ELairline haiwezi kushindana angani na ndege ya Dr. (sijui kifupisho tuiiteje.)
Kamwe hiyo haiwezi kuwa sawa,Dr asimamie kampeni tuu kumuonyesha Lowassa Jeuri yake, hiyo inatosha
 
Ndio mana cc tulioliona mapema hilo tukapendeza the heavy weight politician mr.wilbroad slaa aingie pale mwenyewe pale,sasa hawa vijana wanapiga piga mayowe oooh rais hawezi kugombea ubunge!kile kiti ni muhimu sana kwa chadema kudhihirisha nguvu zake kanda ya kaskazini sio kilimanjaro tu!

tatenaneeeeeeei!
aisee ww kweli hoja hamna, yaani unataka tu wadhihirishe nguvu yao kwenye kanda km atashinda au una sababu nyingine?
 
Kwa hiyo wabunge wanatosha hamtaki tena slaa aongeze idadi au?na kuhusu wabunge hata nccr iliwahi kuwa na wabunge wengi lakini jiulize walikwenda wapi?acheni kuridhika mapema nyie..mnahitaji wabunge zaidi,hapo unguja tu sisemi pemba hamna kiti hata kimoja,cuf wameweza kupata huku kwanini na nyie msipate kule?na bado mnasema kuna mtu anaimarisha chama..tokea akose urais na kuwa nje ya bunge chadema imeshinda chaguzi ngapi yeye akishinda kwenye ofisi za chama na ku dedicate muda wake wote kufanya shughuli za chama tu?

Chadema haifanyi siasa za kuiga cuf na nccr mageuzi. Kila uchaguzi tunapanda kwa idadi ya wabunge, hiyo itoshe kukuonyesha kwamba tuko tofauti na hao wengine.
Hata chama kilichopo madarakani hakiridhiki sembuse sisi? Tunakuja kimkakati hatukurupuki, hatimaye mtakubali tu.
 
"kushindwa kwake" kwenye urais upi tena wa 2015 au?

2010 Dr. ndo alipata kura za kutosha kuweza yeye kuwa rais badala yake tume ikamtangaza JK na hatimaye akaapishwa kuwa ndo rais, mnataka Dr. akagombee ili mumpoke suhindi wake kwa nguvu jimboni ili muhalalishe kura za lile dafu pale magogoni. ndivyo au sivyo?
 
Kamwe hiyo haiwezi kuwa sawa,Dr asimamie kampeni tuu kumuonyesha Lowassa Jeuri yake, hiyo inatosha

nakubaliana na ww kabisa, japo mashaka yangu yapo kwenye hiyo nguvu ya EL ambapo nasikia mwenyekiti wa tume ni shemeji yake, so bado inaweza ikawa shida kulinganisha nguvu ya Dr. na EL kwenye kampain.
 
Binafsi napendekeza CHADEMA imsimamishe Dr.SLAA kwenye kinyang'anyiro cha ubunge huko Arumeru. Hii itaipa chadema kwanza nafasi kubwa ya kukinyakua kiti hicho kwa kuwa Slaa kwa sasa ni heavy weight politician na pia watanzania wenye uchungu na nchi hii tumekuwa tukiukosa mchango wa Dr pale bungeni.

Wengi tunaukumbuka ujasiri wake akiwa anga zile, kiukweli Mboe anapwaya kwenye nafasi ya kiongozi wa upinzani pale bungeni,waziri mkuu Pinda na serikali yake wanahitaji kuchangamshwa na mtu machachari wa aina ya Slaa,Lema au Tundu!....

Mboe amekua na huruma huruma hivi,sasa slaa kama atafanikiwa kushinda ubunge(nina uhakika atashinda)basi mh.mboe awe muungwana kwa kumpisha bwana Slaa kiti cha kiongozi wa upinzani!hii imekaaje wadau,yote ni katika kuimarisha makali ya bunge.

Mnafiki utamjua tu. we kwa mapenzi gani kwa CDM mpaka utushauri kwa dhati? hizo trick zako za kitoto warudishie masaburi wenzako huko magambani. DR SLAA NDO RAIS WA TANGANYIKA.
 
tatenaneeeeeeei!
aisee ww kweli hoja hamna, yaani unataka tu wadhihirishe nguvu yao kwenye kanda km atashinda au una sababu nyingine?

Zumbe wa Muheza,

Huyo bi. Shosti ameishiwa hoja sasa ameanza viroja. Lakini usiwe na shaka, kama unavyofahamu tuko hapa kuwasaidia hawa watoto wanaojifunza siasa kwa usimamizi wa ofisi ya lumumba.
Twende nao taratibu hatimaye watajitambua tu!
 
Mkuu KIM KARDASH
Kwajuu juu mtu akiangalia hoja yako anaweza kudhani ina mantiki ila kiukweli ukiiangalia kwa jicho la tatu ina mdhaifu mengi na ina impact kubwa kwa siasa zetu za Kibongo.
Unajua siasa ni mchezo wa kutumia ujanja sana katika kummaliza mwenzako kisaikolojia na kuondoa ile nguvu yake na imani yake kwa wananchi, kwenda kwenye chaguzi ndogo ni tofauti sana na uchaguzi mkuu, Amini nakwambia ikitokea unavyotaka wewe kwa Dr kugombea Arumeru mashariki CCM watafanya kila linalo wezekena ilimradi tu kuhakikisha Dr Slaa anashindwa ili kumbomoa kisiasa.

Hoja nyingine dhaifu ni kusema eti Mbowe amepwaya sana kwenye uongozi wa kambi ya upinzani bungeni, hapa unajaribu kutuambia nini? kuwa Hamadi Rashid alikua bora zaidi ya Mbowa alivyo sasa?....... you must be kidding

Umetumia vigezo gani kusema eti Dr Slaa akishanda ubunge basi Mh Mbowe ampishe kiti hicho cha kiongozi kambi ya upinzani Dr Slaa, kwangu mimi hizi ni dharau kubwa kwa kutokutambua anachofanya Mh Mbowe Bungeni,
Kumbuka pia hicho kipindi unachosema Dr Slaa alikuwa anawasha moto wa uhakika bungeni hakuwa mkuu wa kambi ya upinzani bungeni hivyo hoja yako haina nguvu tena

Nilazima tutambue kuwa Dr Slaa hajaukosa ubunge kwa bahati mbaya, hapana yupo pale kama katibu mkuu kujenga chama kwa talanta alioionyesha ya uongozi wa kiwango kizuri, wananchi wa Arumeru tayari walikuwa na kijana wao anayeonekana kukubalika tayari, hivyo ingekuwa vyema akaachwa aendelee na mbio zake kuliko kuwalazimishia mtu ambaye hawakuwa wakimfikiria kabla eti tu kwa kigezo cha kwenda kuimarisha makali ya bunge kama ulivyo jenga hoja yako.

Pia kuna tathmini ya kina ulipaswa kujiuliza nini nafasi ya kushinda iwapo atagombea Arumeru mashariki na nini hatari yake iwapo atagombea kwenye jimbo ambalo sio lake.
Kwa mtazamo wako siri ya ushindi umeikita kwenye u heavy weight politician kitu ambacho hakijitoshelezi kabisa

Kwanza,Risk kubwa ninayo iona mimi ni kuwa chaguzi ndogo ni rahisi sana kufanya ujanja wa matokeo kwa CCM, hivyo basi kama nilivyoainisha hapo juu itatumika nguvu kubwa na gharama yoyote kuhakikisha Dr Slaa hashindi na hili litakuwa baya sana kisiasa kwa Dr Slaa na chama chake kuliko unavyoweza kufikiri

Pili historia na uzoefu inaonyesha ni mara chache sana mtu wa oneo fulani kwenda kugombea eneo jingine, hii ni risk, watu wa ukanda huo ni nadra sana kumkubali mtu zaidi ya "mwenzao", swali ni je tuna hakika watu wa Arumeru watakuwa tayari kuchagua mtu yoyote kwa maslahi ya chama au watataka kuchagua mwakilishi wao kwa matakwa yao? think about it

Tatu, moja ya madai ya CCM kufanya vibaya uchaguzi uliopita ni kitendo cha kupitisha wagombea kwa matakwa ya chama badala ya matakwa ya wananchi, Swali la kujiuliza hapa ni kuwa unategemea yule kijana Joshua na wafuasi wake watakuwa tayari kuona wanapelekewa mtu mwingine kugombea badala ya mtu wao wanae amini anajuwa vizuri matatizo yao, je itamfurahisha Joshua mwenyewe na kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wafuasi wake.

Naamini Joshua akipewa sapoti kubwa na chama chake atafanya vizuri zaidi na atakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya kushinda kuliko Dr Slaa "kupelekwa" akagombee Arumeru mashariki

Hiyo ya kushindwa mimi siiamini sana,ok pengine labda tunatofautina,mimi ni mpiganaji huwa siamini katka kushindwa bali kushinda tu.Na hii haitakua mara ya kwanza kwa heavy weight wa aina ya slaa ambae ni national figure kwenda jimbo lingine na kushinda,alifanya hivyo mrema,licha ya serikali nzima kuhamia temeke kumhami sisco mtiro lakini kwa kuwa kura ni siri mrema alishinda,achaneni na maneno ya kitoto ya wizi wa kura,wananchi wakiamua ushinde utashinda tu.Rejea uchaguzi wa tarime kumrithi chacha.

Kwa nini naamini slaa atakua bora zaidi ya mbowe bungeni?jibu lake ni tofauti wa ELIMU na ufahamu wa wawili hawa,katika hivyo viwili mboe na dr ni sawa sawa na kulinganisha kifo na usingizi,mboe ni kama usingizi tu kwa kifo(slaa),na elimu ni jambo muhimu sana nadhani wote hapa tunakubaliana ya kwamba mwenye elimu zaidi ana maarifa zaidi.Sitaki kusema sana hapa namstahi mwenyekiti.Nadhani naeleweka,watu wazima nyie.

Kijana joshua kama yuko kwa ajili ya chama ataitwa na wazee kina makani watamuelewesaha ataelewa tu kama alielewa zitto na ukaidi wake wote tunaojua akamuachia mbowe uenyekiti itakua joshua!ndio mana kuna wazee,wazee ni grisi kazi yao ni kulainisha chuma kinapopata moto.kumsimamisha mtu kama joshua kwa nyingi lenye interest za mafisadi kama arumeru is a disaster!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom