zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,828
- 8,618
sawa sawa, kuna fumbo kubwa sana ndani yake, wakifuata ushauri wao tu magoli mia ndani watafungwa within a second.Chadema kufuata ushauri wa magamba na antiChademas ni sawa na Hawa kukubali ushauri wa shetani na kula tunda la mti wa kati!