KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
- Thread starter
- #481
kujitangaza mbali na kupitishwa na chama kama mgombea mbali...kujitangaza ni kutangaza nia tu,wengi hufanya hivyo lakini mwisho wasiku chama humteua mmoja tu kugombea,muda bado upo kama mzee wangu slaa unanisoma hapa fikiria mara mbili hii kitu kwa maslahi ya taifa acha maslahi ya hawa jamaa wapotoshaji hapa,wanaokuogopa ukiingia bungeni utabidili muelekeo wa akmbi ya upinzani pale mjengoni ambayo imelega lega.Nafikiri umekwisha msikia aliyetangaza nia ya kugombea Jimbo hilo kwa tiketi ya CHADEMA.
SIDHANI kama Dr Slaa ni mroho wa madaraka kihivyo, kwa amsukume dogo kando aingie yeye. Hiyo ni tabia ya kina Mrema, A.L. et al.