ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
[/COLOR]
Hapo kwenye red nadhani imeshapata yaliyojiri.soma thread zote zinazohusu songea leo utaona kilichotokea.Nilichoandika ndicho kimetokea.Serikali yako ina pwaya
huwezi kuitaja serikali ukajiondoa wewe. huwezi kulalamika wauaji hao ambao mnafaham wanatoka wapi na wanapatikana wapi, unakimbilia kulaumu mamlaka zinazohusika.